Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa Katie ya mtu wa dar na Nairobi nani kachanuka kuliko mwengine... Hao ni watanzania wa dar Bado kushangaa BRT wakinyambanyamba Humo ndani Una huyo babu yako vile amekaza mshuto while us in Nairobi ni kuenjoy wifi na Mziki nyinyi nikunyambiana kwa BRT View attachment 795191View attachment 795192View attachment 795193
huo ni ushamba wa hali ya juu, yaani katika karne hii ya maendeleo ya digitali bado mtu unaenda ku-enjoy mziki wenye makelele kwenye matatu?. smh.

wastaarabu tunapo panda kwenye public transport huwa hatupendi kelele. kila mtu anakuwa busy katika utulivu wa kutafakari mambo yake.

kwa sisi tunaopeda mziki, huwa tunavaa earphone au headphones tukisikiliza mziki kupitia smartphone zetu huku safari inaendelea mpaka mwisho wa safari bila kumkwaza mtu kwa makelele ya kijinga

this is what is supposed to be done in a decent public transport vehicle.


IMG_20180605_233645.jpg
 
huo ni ushamba wa hali ya juu, yaani katika karne hii ya maendeleo ya digitali bado mtu unaenda ku-enjoy mziki wenye makelele kwenye matatu?. smh.

wastaarabu tunapo panda kwenye public transport huwa hatupendi kelele. kila mtu anakuwa busy katika utulivu wa kutafakari mambo yake.

kwa sisi tunaopeda mziki, huwa tunavaa earphone au headphones tukisikiliza mziki kupitia smartphone zetu huku safari inaendelea mpaka mwisho wa safari bila kumkwaza mtu kwa makelele ya kijinga

this is what is supposed to be done in a decent public transport facility.


View attachment 795194
yap....yaani ile roho inapenda......unasikiliza ukipendacho siyo akipendacho dereva
 
Hebu leta zile picha za dream houses zenu za Dar leo tuyaone. it's been long since uzilete
lini utaachana na bedsitter hapo nairobi?.

toka kwamza kwa bedsitter ndio ukuje nikupostie dream houses za dar es salaam.
 
halafu mamiziki yao kwenye matatu ni yale mariddim ya wavuta bangi wa visiwa vya caribbean.
yaani ni local.....sana hawa wakenya hayo mambo yaku pimp usafiri wa kupakiza abiria kwa kuweka mziki dar tulishaachanaga nayo
 
pale rapper wakikenya octopizzo anapotoa hit kali ndani ya kenya...


The guy has 2.9m views atleast he got paid even if hes wack he atleast tried to try unlike some lazy ass haters ,respect south sudanese humble beginnings
 
Sasa Katie ya mtu wa dar na Nairobi nani kachanuka kuliko mwengine... Hao ni watanzania wa dar Bado kushangaa BRT wakinyambanyamba Humo ndani ona huyo babu yako vile amekaza mshuto while us in Nairobi ni kuenjoy wifi na Mziki nyinyi nikunyambiana kwa BRT
Kenya kugeuza matatu ziwe 'nightclub' ina maana hamna sehemu proper za kufanyia starehe!?
 
huo ni ushamba wa hali ya juu, yaani katika karne hii ya maendeleo ya digitali bado mtu unaenda ku-enjoy mziki wenye makelele kwenye matatu?. smh.

wastaarabu tunapo panda kwenye public transport huwa hatupendi kelele. kila mtu anakuwa busy katika utulivu wa kutafakari mambo yake.

kwa sisi tunaopeda mziki, huwa tunavaa earphone au headphones tukisikiliza mziki kupitia smartphone zetu huku safari inaendelea mpaka mwisho wa safari bila kumkwaza mtu kwa makelele ya kijinga

this is what is supposed to be done in a decent public transport vehicle.


View attachment 795194
Hio ni Coach bus hii ni SOKO ya BRT!! Alafu nani alikudanganya hatuna Coach buses pundaii... Tuko na a variety to choose from like NYS buses... City hoppas, MANGANYA, na Matatu... When it comes to Civilization we lead buda!! We've got Swag and Civilization in the same Roof..
BDNYSBUS290K3-524x350.jpg
NYS-bus_COURTESY.jpg
Bus.jpg
yjiboz16shed58gnc57e6defb617f3.jpg
buscar.jpg
modern.jpg
mash-poa.jpg
IMG_6796-300x200.jpg
Modern-Coast-3.jpg
Modern-coast-2.jpg
1471767_3784915039095_2099815759_n.jpg
brand_259_583c05cf4bd2e.jpg
Phantom-Interior.jpg
Screenshot_20180514-213818.jpg
Screenshot_20180514-213806.jpg
 

Attachments

  • brand_259_583c05cf4bd2e.jpg
    brand_259_583c05cf4bd2e.jpg
    64.8 KB · Views: 26
Hio ni Coach bus hii ni SOKO ya BRT!! Alafu nani alikudanganya hatuna Coach buses pundaii... Tuko na a variety to choose from like NYS buses... City hoppas, MANGANYA, na Matatu... When it comes to Civilization we lead buda!! We've got Swag and Civilization in the same Roof.. View attachment 795277View attachment 795278View attachment 795279View attachment 795280View attachment 795281View attachment 795282View attachment 795283View attachment 795284View attachment 795285View attachment 795286View attachment 795288View attachment 795289View attachment 795290View attachment 795291View attachment 795292
Kijana kwenye Transport usijaribu kabisa kujiringanisha na TZ labda wewe ni mshamba fulani. Ndiyo maana wenzako don't support you. Because you don't have exposure.
 
Back
Top Bottom