Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aty BRT inakaa Kama clinic wagonjwa wakingoja matibabu... takataka hio Ebu compare the two.. Nairobi has got Swag & Talent
29921270130_e43ff2c5ec_o-1024x768.jpg
Phantom-Interior.jpg
 
ligi ipi unauliza? ya kenya ya tanzania?.

kama ni ligi kuu ya tanzania,azam fc ni mshindi wa pili wa league kuu ya tanzania ya vpl 2017-2018.

last season, azam fc ilikuwa ni mshindi wa tatu. vitu vingine msiwe mnauliza, muwe mna Google kwanza. otherwise mtakuwa mnajidhalilisha.
Ni kwa vile hatufuatilii sana masuala ya Tanzania jinsi mnayvofatilia masuala ya kenya so muelewe tu huyo ndugu yangu. Sio desturi yetu sisi wakenya kutaka kujua ni kitu gani kinaendelea huko kwenu ila nyinyi mnajua hadi mawaziri wetu wote kwa majina hadi magavana wote 47
 
Ni kwa vile hatufuatilii sana masuala ya Tanzania jinsi mnayvofatilia masuala ya kenya so muelewe tu huyo ndugu yangu. Sio desturi yetu sisi wakenya kutaka kujua ni kitu gani kinaendelea huko kwenu ila nyinyi mnajua hadi mawaziri wetu wote kwa majina hadi magavana wote 47
ofcos, mimi hapa najua mpaka ratiba yako ya kwenda haja kubwa.

leo umekunya mara tatu, ulikunya asubuhi, pia ukanya mchana few minutes after kula githeri kwa avocado.

pia umekuja usiku huu baada tu ya kula sima kwa sukuma wiki.
 
unafananisha hizo takataka na basi za brt?. wewe kweli kilaza.
Brt ya kuoita kwa slums aka dream houses. Btw mbona siku hizi hamuleti zile pucha zenu za dre houses wewe na chooboy? ni kitambo sana since nicheke
 
ofcos, mimi hapa najua mpaka ratiba yako ya kwenda haja kubwa.

leo umekunya mara tatu, ulikunya asubuhi, pia ukanya mchana few minutes after kula githeri kwa avocado.

pia umekuja usiku huu baada tu ya kula sima kwa sukuma wiki.
Nyinyi endeleeni kufatilia masuala za kenya na kuleta a million screenshots about news za kenya....we are your big brothers, you know
 
Brt ya kuoita kwa slums aka dream houses. Btw mbona siku hizi hamuleti zile pucha zenu za dre houses wewe na chooboy? ni kitambo sana since nicheke
lakin huikuti top 100 worse slum in the world hehehe lakin mbaya zaidi mabanda ya nguruwe ya kibera iko top 5 in the world😀😀😀😀😀

watu wanaishi kama vile wanyama alaf munataka kuficha aibu kwa wazungu hii ni akili au funza😛😛
 
lakin huikuti top 100 worse slum in the world hehehe lakin mbaya zaidi mabanda ya nguruwe ya kibera iko top 5 in the world😀😀😀😀😀

watu wanaishi kama vile wanyama alaf munataka kuficha aibu kwa wazungu hii ni akili au funza😛😛
Hio hata haiko kwa List ya Slums iko kwa General list ya Poverty
 
babu yako huyo katoroka nairobi......kaja dar kushangaa shangaa brt
Sasa Katie ya mtu wa dar na Nairobi nani kachanuka kuliko mwengine... Hao ni watanzania wa dar Bado kushangaa BRT wakinyambanyamba Humo ndani ona huyo babu yako vile amekaza mshuto while us in Nairobi ni kuenjoy wifi na Mziki nyinyi nikunyambiana kwa BRT
29921270130_e43ff2c5ec_o-1024x768.jpg
Phantom-Interior.jpg
1472060_702009876475674_407010211_n.jpg
 
Back
Top Bottom