Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

utaskia azam tissue, azam soda, azam premende, azam karanga, azam mutura mpaka azam condom...duh!
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
tusubiri sasa azam hospital au tayari ipo?
Hahaha savage,my sentiments exactly yani the guy has grabbed like every opportunity that tanzanians should hav grabbed
 
Wengine wakijenga ma superhighway nyinyi ni kujenga Vibanda za kungoja Bus

Hiyo super highway ina hata ki service road Au hata sehemu ya watu kupanda na kushuka kwenye Bus? Kuna siku niliona watu wanaosubiria wageni aiport wanalowana na mvua na mabango yao, Mnajigamba sana halafu vitu Basic kabisa unashindwa kufanya. What a loss.
 
Wengine wakijenga ma superhighway nyinyi ni kujenga Vibanda za kungoja Bus

Ukute hiki kituo unachokiita Kibanda kinatengeneza mapato kuliko hata hilo li superhighway unalolisema(Umeona hilo Tangazo hapo) Kwanza City washamata hela yao hapo ambayo ni kila cm ya hilo bango, Aliyejenga hiko kituo kakamata hela hapo, aliyeprint hizo stickers, Etc hela tupu hapo , Pamoja na kupendezesha jiji. Nyang’au anawaza banda.

hivi hiyo Highway ina Toll Gate? Na mnazo ngapi kwanza zaidi ya Thigh Highway . Nyinyi kila kitu ni super.........
 
Hiyo super highway ina hata ki service road Au hata sehemu ya watu kupanda na kushuka kwenye Bus? Kuna siku niliona watu wanaosubiria wageni aiport wanalowana na mvua na mabango yao, Mnajigamba sana halafu vitu Basic kabisa unashindwa kufanya. What a loss.
Nkt!! Airport gani hiyo we fala... Tz hainaplan na miji yake.. Unajengaje BRT na hamna Road infrastructure mzuri... BRT inapitia kwa Vumbi?
 
Ukute hiki kituo unachokiita Kibanda kinatengeneza mapato kuliko hata hilo li superhighway unalolisema(Umeona hilo Tangazo hapo) Kwanza City washamata hela yao hapo ambayo ni kila cm ya hilo bango, Aliyejenga hiko kituo kakamata hela hapo, aliyeprint hizo stickers, Etc hela tupu hapo , Pamoja na kupendezesha jiji. Nyang’au anawaza banda.

hivi hiyo Highway ina Toll Gate? Na mnazo ngapi kwanza zaidi ya Thigh Highway . Nyinyi kila kitu ni super.........
Did you Know Matatu Industry ya Kenya inatengeneza pesa KULIKO hio BRT yenyu? Na tena Hio BRT yenyu nikama Bodaboda na tuktuk za kenya ju hizo ndio Ziko na Mavibanda Kama hizo za BRT
 
Screenshot_20180604-073817.png
Screenshot_20180604-073810.png
Screenshot_20180604-073715.png
Screenshot_20180604-073652.png
Screenshot_20180604-073546.png
Screenshot_20180604-073535.png
Screenshot_20180604-073420.png
Screenshot_20180604-072826.png

Hapa sio Dar wala sio jiji lolote kubwa Tanzania, hapa ni mji wa kawaida Tanzania lakini inajengwa kisasa hii inaonesha Tanzania maendeleo yanaenda nchi nzima sio eneo moja tu kama Kenya maendeleo yote ni nairobi tu

Otea hapo ni wapi
 
View attachment 793651 View attachment 793653 View attachment 793654 View attachment 793656 View attachment 793657 View attachment 793659 View attachment 793660 View attachment 793661
Hapa sio Dar wala sio jiji lolote kubwa Tanzania, hapa ni mji wa kawaida Tanzania lakini inajengwa kisasa hii inaonesha Tanzania maendeleo yanaenda nchi nzima sio eneo moja tu kama Kenya maendeleo yote ni nairobi tu

Otea hapo ni wapi
Ungejua Vile Maendeleo iko 100% mingi kenya KULIKO Nairobi Lapset, Nakuru interchange, Mombasaport, Konza city, Tatu city, Country wide Stadium upgrades,oilpipeline, Lamuport, GDC project Wha!! Tembea kenya kijana
 
utaskia azam tissue, azam soda, azam premende, azam karanga, azam mutura mpaka azam condom...duh!
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
tusubiri sasa azam hospital au tayari ipo?
Azam ni kila kitu huko uskii Hadi Kuna Azam Fc Kwani walikosa jina... Aty Azam hio sa ndio nini
andaeni hasira za kutosha kuhusu azam.

huko kwenyu bakhresa anakuja kuwekeza katika biashara ya marine katika mji wa mombasa.

mipango ipo tayari so mda wowote boti za kisasa za kampuni ya azam marine zitaanza kuchukua abiria from mombasa, tanga, zanzibar, dar es salaam and vice-versa.

serikali yenyu ilishatuma maafisa wake tanzania kuja kuzungumza na kuchukua ushauri toka kwa tajiri said salim bakhresa ambaye ndiye owner wa makampuni yote ya azam.
viva tanzania.

View attachment 792880View attachment 792881View attachment 792882View attachment 792883
 
View attachment 793651 View attachment 793653 View attachment 793654 View attachment 793656 View attachment 793657 View attachment 793659 View attachment 793660 View attachment 793661
Hapa sio Dar wala sio jiji lolote kubwa Tanzania, hapa ni mji wa kawaida Tanzania lakini inajengwa kisasa hii inaonesha Tanzania maendeleo yanaenda nchi nzima sio eneo moja tu kama Kenya maendeleo yote ni nairobi tu

Otea hapo ni wapi
hehehe then you have never been to Mombasa....Mombasa ndio third most developed city in EA...imeshinda hata Kampala na Kigali we vipi?😀😀😀😀
 
andaeni hasira za kutosha kuhusu azam.

huko kwenyu bakhresa anakuja kuwekeza katika biashara ya marine katika mji wa mombasa.

mipango ipo tayari so mda wowote boti za kisasa za kampuni ya azam marine zitaanza kuchukua abiria from mombasa, tanga, zanzibar, dar es salaam and vice-versa.

serikali yenyu ilishatuma maafisa wake tanzania kuja kuzungumza na kuchukua ushauri toka kwa tajiri said salim bakhresa ambaye ndiye owner wa makampuni yote ya azam.
viva tanzania.

View attachment 792880View attachment 792881View attachment 792882View attachment 792883
hahaha actually he is a very good businessman..theres no doubt abt that...ila hio tactic ya kuita kila kitu azam its a very poor business tactic...huwezi ukaita product za aina tofauti the same name kisa tu zinatoka kwa kampuni moja...azam soda na azam soap..jamaa anachanganyisha tu kama mjinga😀😀😀
 
hahaha actually he is a very good businessman..theres no doubt abt that...ila hio tactic ya kuita kila kitu azam its a very poor business tactic...huwezi ukaita product za aina tofauti the same name kisa tu zinatoka kwa kampuni moja...azam soda na azam soap..jamaa anachanganyisha tu kama mjinga😀😀😀
porojo hii sasa.
 
andaeni hasira za kutosha kuhusu azam.

huko kwenyu bakhresa anakuja kuwekeza katika biashara ya marine katika mji wa mombasa.

mipango ipo tayari so mda wowote boti za kisasa za kampuni ya azam marine zitaanza kuchukua abiria from mombasa, tanga, zanzibar, dar es salaam and vice-versa.

serikali yenyu ilishatuma maafisa wake tanzania kuja kuzungumza na kuchukua ushauri toka kwa tajiri said salim bakhresa ambaye ndiye owner wa makampuni yote ya azam.
viva tanzania.

View attachment 792880View attachment 792881View attachment 792882View attachment 792883
Hii Azam yenyu ni kampuni zero hadi Kampuni ndogo ndogo kenya Kama Brookside na Tuzo zimeitoa... Bure kabisa
 
haki nyinyi watu ni wajinga sijapata kuona. ichoboy anacheza na akili yenyu nanyi bila kujua mnajadili kile anachotaka yeye.
Sasa kwa ujnga wako ukafikiri sisi hatuchezi na akili zake???
 
Back
Top Bottom