Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

umeshindwa kujibu??😀😀😀😀
Hii imeshinda hadi parliament yenyu
gate.jpg
 
azam ni brand kubwa sana africa.
haifanyi biashara tu kenya peke yake bali nchi nyingi sana za africa na nje ya africa.

hizi ni baadhi tu.
View attachment 793682View attachment 793683

hapo sijataja Zimbabwe na zambia.
Hya M Pesa inatumika World wide sahii na SPORTPESA na Bado Unapiga mdomo hapa aty Zimbabwe.. Meaning Hio azam yenyu tunaweza compare na companies Kama Tuzo na Broockside
 
hahaha actually he is a very good businessman..theres no doubt abt that...ila hio tactic ya kuita kila kitu azam its a very poor business tactic...huwezi ukaita product za aina tofauti the same name kisa tu zinatoka kwa kampuni moja...azam soda na azam soap..jamaa anachanganyisha tu kama mjinga😀😀😀
huwezi mpangia mtu aite bidhaa yake ama kampuni yake jina ulipendalo angali mali si zako.......

kipi kinachokuuma...
we ni kiumbe wa ajabu sana yaani unadiscuss kitu ambacho hata hakikuhusu
 
Back
Top Bottom