Freddie998
JF-Expert Member
- Apr 13, 2018
- 675
- 370
Hahaa. Noma. Hapo umenikamata. Mimi ni shabiki wa Gor Mahia lakiniila najua wewe sio shabiki wa kariobangi ila unaishabikia tu kisa inacheza na timu kubwa ya tanzania.![]()
![]()
![]()
Hahaa. Noma. Hapo umenikamata. Mimi ni shabiki wa Gor Mahia lakiniila najua wewe sio shabiki wa kariobangi ila unaishabikia tu kisa inacheza na timu kubwa ya tanzania.![]()
![]()
![]()
Gor 4 life tuko pamojaHahaa. Noma. Hapo umenikamata. Mimi ni shabiki wa Gor Mahia lakini
sportpesa ni kivuri tu.......ila vilabu vilivyodhaminiwa na sportpesa havitegemei hata robo ya pessa kutoka sportpesa na haziendeshwi na sportpesa.......Hamdhamini aje ushindani wa sportpesa wakati Sportpesa ndio wanadhamini hizo vilabu vyenu vya kishenzi?
Kabisa . K'Ogalo inaenda EnglandGor 4 life tuko pamoja
ulitaka iwe uhuru teamTena Azam ni team... Kwani Kila kitu Tz ni Azam![]()
![]()
![]()
![]()
Hata hivyo hongera, sikujua apple watch ina washikaji Tanzania.




. Tutaona mengi.😀😀😀sportpesa tu inaizidi benki yenu kubwa kabisa kwa revenue...hizo team zenu zote zinadhaminiwa na sportpesa...vijana wa bongo wanapoteza hela zao wakicheza sportpesa wanabaki maskini hohehahe...sportpesa ni kivuri tu.......ila vilabu vilivyodhaminiwa na sportpesa havitegemei hata robo ya pessa kutoka sportpesa na haziendeshwi na sportpesa.......
ndiyo maana hatuna time nayo tunakuja tu kuwachangamsha..........ila apande dau aone jinsi hizo team zitakavyocheza
tena yawezekana si shabiki kabisa wa footballila najua wewe sio shabiki wa kariobangi ila unaishabikia tu kisa inacheza na timu kubwa ya tanzania.![]()
![]()
![]()

elewa nilichokuambia........team za tanzania hazitegemei pesa kutoka sportpesa vile vile haziendeshwi na sportpesa kuwa mdhamini si tija hizi team zilikuwepo kabla ya sportpesa....😀😀😀sportpesa tu inaizidi benki yenu kubwa kabisa kwa revenue...hizo team zenu zote zinadhaminiwa na sportpesa...vijana wa bongo wanapoteza hela zao wakicheza sportpesa wanabaki maskini hohehahe...
hahahaha jamaa wanalack exposureDuuhhhh, Nyie jamaa .. Tutaona mengi.
kupo bomba
hujui vinasaidia nn?? au unataka ubishi wa kipuuzi team ina miaka 50 gor mahia ina maendeleo gani???? ikiwa haina hata ofisi wala uwanja wa michezo kuna faida gani😀😀😀😀😀😀😀Swali langu ni rahisi sana: hizo vitu zote umetaja zimesaudiaje hizo vilabu zenu kunawiri? mbona unashindwa kujibu swali rahisi?
utaskia azam tissue, azam soda, azam premende, azam karanga, azam mutura mpaka azam condom...duh!![]()
tusubiri sasa azam hospital au tayari ipo?![]()
Azam ni kila kitu huko uskii Hadi Kuna Azam Fc
Kwani walikosa jina... Aty Azam hio sa ndio ninikwanza yanga ni team ya biashara na inatengeneza revenue kubwa kuliko team zote za kenya combine hehhehe😀😀😀😀😀 na imetoa ajira kwa watu zaidi ya watu 100 na kuendelea huoni faida bado???Hizo basi hazikusaidia yanga kuwin kwani na vile u brag about them but kakamega team inachapa yanga 3 goals![]()
![]()
Wengine wakijenga ma superhighway nyinyi ni kujenga Vibanda za kungoja Bus

hasira za nn sasa lexus inakutoa imani hvi😀😀Peleka muindi kazini kama kawaida kama Dawa kuwachapa ni kama vile tulichapa Yanga ama Taifa stars na Zanzibar stars combined.... nitag mkitushinda in anything.
unaona sasa unaanza kunijadili hunijui wala sikujuu hilo ndio tatizo lenu😀😀😀😀 mm nafanya shugli zangu sitegemei cha baba wala cha ndugu😛😛Sawa Ichoboy. Nadhani wewe ni mwarabu fulani anayekula pesa ya baba yake. Usitegemee mali ya wazazi kijana. 😀😀. Hata hivyo hongera, sikujua apple watch ina washikaji Tanzania.