Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hamdhamini aje ushindani wa sportpesa wakati Sportpesa ndio wanadhamini hizo vilabu vyenu vya kishenzi?
sportpesa ni kivuri tu.......ila vilabu vilivyodhaminiwa na sportpesa havitegemei hata robo ya pessa kutoka sportpesa na haziendeshwi na sportpesa.......

ndiyo maana hatuna time nayo tunakuja tu kuwachangamsha..........ila apande dau aone jinsi hizo team zitakavyocheza
 
sportpesa ni kivuri tu.......ila vilabu vilivyodhaminiwa na sportpesa havitegemei hata robo ya pessa kutoka sportpesa na haziendeshwi na sportpesa.......

ndiyo maana hatuna time nayo tunakuja tu kuwachangamsha..........ila apande dau aone jinsi hizo team zitakavyocheza
😀😀😀sportpesa tu inaizidi benki yenu kubwa kabisa kwa revenue...hizo team zenu zote zinadhaminiwa na sportpesa...vijana wa bongo wanapoteza hela zao wakicheza sportpesa wanabaki maskini hohehahe...
 
utaskia azam tissue, azam soda, azam premende, azam karanga, azam mutura mpaka azam condom...duh!
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
tusubiri sasa azam hospital au tayari ipo?
 
😀😀😀sportpesa tu inaizidi benki yenu kubwa kabisa kwa revenue...hizo team zenu zote zinadhaminiwa na sportpesa...vijana wa bongo wanapoteza hela zao wakicheza sportpesa wanabaki maskini hohehahe...
elewa nilichokuambia........team za tanzania hazitegemei pesa kutoka sportpesa vile vile haziendeshwi na sportpesa kuwa mdhamini si tija hizi team zilikuwepo kabla ya sportpesa....

nakingine si club zote zinaudhamini wa sportpesa mfano azam haiina udhamini wa sportpesa na club kadhaa
 
Swali langu ni rahisi sana: hizo vitu zote umetaja zimesaudiaje hizo vilabu zenu kunawiri? mbona unashindwa kujibu swali rahisi?
hujui vinasaidia nn?? au unataka ubishi wa kipuuzi team ina miaka 50 gor mahia ina maendeleo gani???? ikiwa haina hata ofisi wala uwanja wa michezo kuna faida gani😀😀😀😀😀😀😀
 
Hizo basi hazikusaidia yanga kuwin kwani na vile u brag about them but kakamega team inachapa yanga 3 goals
kwanza yanga ni team ya biashara na inatengeneza revenue kubwa kuliko team zote za kenya combine hehhehe😀😀😀😀😀 na imetoa ajira kwa watu zaidi ya watu 100 na kuendelea huoni faida bado???
 
Peleka muindi kazini kama kawaida kama Dawa kuwachapa ni kama vile tulichapa Yanga ama Taifa stars na Zanzibar stars combined.... nitag mkitushinda in anything.
hasira za nn sasa lexus inakutoa imani hvi😀😀
 
Sawa Ichoboy. Nadhani wewe ni mwarabu fulani anayekula pesa ya baba yake. Usitegemee mali ya wazazi kijana. 😀😀. Hata hivyo hongera, sikujua apple watch ina washikaji Tanzania.
unaona sasa unaanza kunijadili hunijui wala sikujuu hilo ndio tatizo lenu😀😀😀😀 mm nafanya shugli zangu sitegemei cha baba wala cha ndugu😛😛
 
Back
Top Bottom