Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,601
- 15,704
picha ya nini mtoto wa tandale?weka picha, acha porojo..
picha ya nini mtoto wa tandale?weka picha, acha porojo..
Your argument is so shallow, as it has always been. Nini maana ya team kushiriki michezo? Je ni kucharazwa mabao kila kuchao?siunaona sasa ujinga uliokua nao sasa kama unashinda uwanjani alf huna mafanikio ya team kimaendeleo kuna faida gani hapo ikiwa hata ofisi hakuna uwanja wa mchezo hakuna gari ndio hilo bovu la tuzo😀😀 alaf jnasema maendeleo ni uwanjani sijui kama unajua maana halisi ya development
team za tanzania ziko kibishara na zinatengeneza revenue kubwa sana na zinajiendeleza kimaendeleo sasa hvi yanga na simba wote wameshaanza ujenzi wa viwanja vyao vya mpira
tunapoongelea developments of a team ni kama hviYour argument is so shallow, as it has always been. Nini maana ya team kushiriki michezo? Je ni kucharazwa mabao kila kuchao?
Ushamaliza kuosha gari la muindi kwa matayarisho ya ki-chauffer kesho 😀 na Yanga imenyoroshwa 😀
acha hasira basi yani lexus inakuumiza hvo 😀😀Ushamaliza kuosha gari la muindi kwa matayarisho ya ki-chauffer kesho 😀 na Yanga imenyoroshwa 😀
hatuizingatii huo ushindani wa sportpesa hakuna oesa za kutosha hivyo tumekuja tu kushow loveHuku kwetu mabasi kama hayo ni ya shule za upili zinatembelea na watoto...kweli Tz ni ya 90s Hadi tunawachapa kama burukenge ... Kakamega Home boyz 3 - 1 Y-Anger ndo maana hasira 😀
isitoshe hao ni team B wenyewe wapo huku hata leo wamecheza mechi......ndiyo maana hauoni tukilalama kuhusu mashindano yaliyopo huko......Huku kwetu mabasi kama hayo ni ya shule za upili zinatembelea na watoto...kweli Tz ni ya 90s Hadi tunawachapa kama burukenge ... Kakamega Home boyz 3 - 1 Y-Anger ndo maana hasira 😀
hawajui hao.......laiti sportpesa wangeweka fungu lakutosha........wangeona mzikisiunaona sasa ujinga uliokua nao sasa kama unashinda uwanjani alf huna mafanikio ya team kimaendeleo kuna faida gani hapo ikiwa hata ofisi hakuna uwanja wa mchezo hakuna gari ndio hilo bovu la tuzo😀😀 alaf jnasema maendeleo ni uwanjani sijui kama unajua maana halisi ya development
team za tanzania ziko kibishara na zinatengeneza revenue kubwa sana na zinajiendeleza kimaendeleo sasa hvi yanga na simba wote wameshaanza ujenzi wa viwanja vyao vya mpira
hakuna pesa huko,,,,,,,ndiyo maana tumewatupia team B.....waexperience....Your argument is so shallow, as it has always been. Nini maana ya team kushiriki michezo? Je ni kucharazwa mabao kila kuchao?

Hamdhamini aje ushindani wa sportpesa wakati Sportpesa ndio wanadhamini hizo vilabu vyenu vya kishenzi?hatuizingatii huo ushindani wa sportpesa hakuna oesa za kutosha hivyo tumekuja tu kushow love
Swali langu ni rahisi sana: hizo vitu zote umetaja zimesaudiaje hizo vilabu zenu kunawiri? mbona unashindwa kujibu swali rahisi?tunapoongelea developments of a team ni kama hvi
huu ni uwanja wa azam fc una kila kitu ndani kuna teaching room, conference room, swiming pool, modern gym, medical departments, hostel za wachezaji, studio room, cafeteria etc
azam fc pekee ina bus zisizopungua 6 na zote ni expensive buses na kumbuka anafanya biashara anafanya matangazo so anatengeneza pesa
View attachment 793448 View attachment 793449 View attachment 793450 View attachment 793452 View attachment 793453 View attachment 793454 View attachment 793455
Hizo basi hazikusaidia yanga kuwin kwani na vile u brag about them but kakamega team inachapa yanga 3 goalsni mafanikio ya team tuoneshe za kwenu basi
tena team za tanzania zinatengeneza pesa na ziko kibiashara zaidi 😀😀😀😀
View attachment 793319
View attachment 793320
sasa tuoneshe mafanikio ya team ya gor mahia angalau tuone ofisi yao heheheh 😛😛😛😛

porojo hiyo and you know quite well it's porojo.Huu mlima ni shamba letu la bibi yani tunamla hadi tigo mpende msipende. Povu ruksaaa





leo ndio ile siku sasa.Sawa. Na ujue followers hawachezi mpira
povu.Ushamaliza kuosha gari la muindi kwa matayarisho ya ki-chauffer kesho 😀 na Yanga imenyoroshwa 😀

Hizi Club za Tz Zinafaa kuchezea Tz They know nothing....Ichoboy kujeni mchukue hawa mavijana wenyu, wataibishwa bureView attachment 793080 View attachment 793081 View attachment 793082 View attachment 793080 View attachment 793081 View attachment 793082

Hii Yanga ndo ile timu iko na ifisi kubwa kushinda ya Gor ama hii ni ingine? Hahaha....si wangeingiza ile ofisi wabongo wanatuonyesha hapa iwafungie mabao. Juzi waltwangwa na MC Algiers sasa KK Homeboyz
Kazi yao ni Ofisi sio kiwanja... Endeleeni Kujenga ma Ofisi sisi TUKIBEBA vikombe
