Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

napelekana wapi na manyimbo za kiswahili...

ata kwa TV za Kenya ni kina kiba nawaonanga tu..sijui Jo Makini,diamond,ommy dompoz na venessa...hao ndio nawajua vizuri
acha uongo wewe!!unavunga.....??
 
Hii Yanga ndo ile timu iko na ifisi kubwa kushinda ya Gor ama hii ni ingine? Hahaha....si wangeingiza ile ofisi wabongo wanatuonyesha hapa iwafungie mabao. Juzi waltwangwa na MC Algiers sasa KK Homeboyz



ni hujumaa
 
IMG_0567.JPG



IMG_0572.JPG


IMG_0573.JPG



IMG_0575.JPG
 
haya ndio matokeo mabaya ya umiliki wa ardhi kenya 😀😀😀😀😀 alaf wanaota umaskini kuisha
ECCA4D0B-A097-4A14-8B57-CAD17D5FC8C2.jpeg
 
Back
Top Bottom