mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,516
Wacha waendelee kujipepea humu.
Sasa kama unakubali kwamba hizo ndo nyumba za watu masikini Dar and the same time pia mnakataa hapo sio Dar mbona hamueleweki? You people are so full of contradictions! Halafu iweje leo Kibera haina 2.5 million people? Mnachekesha kweliHizo ndio nyumba za watu masikini dar,I mean nyumba zao.
Sijui utatumia akili gani kuwaweka sawa na ndugu zako 900k Wa kibera.
Use google image search utajua ni wapi. Utakua mkaazi wa kijijini hata mjini hujakanyaga maana hujui jiji lenu kubwa zaidi.😀😀😀Mimi sijui hapo ni wapi??niambie ni sehemu gani.
Mimi naamini nachart na mtu,sio mbuzi.usitake niamini vingine.Sasa kama unakubali kwamba hizo ndo nyumba za watu masikini Dar and the same time pia mnakataa hapo sio Dar mbona hamueleweki? You people are so full of contradictions! Halafu iweje leo Kibera haina 2.5 million people? Mnachekesha kweli
Nawangoja waje hapa nilete mapicha za Jangwani, Tandale, Mbagala etc nione wakipingaUmekamata makende zao hawapumui....Looking at these houses, I doubt if it takes more than Ksh150,000 to construct one...Halafu unasikia mwanaume akiringa hapa ndani vile wao wamejenga nyumba Dar
Sisi tushakubali kuna slums Nairobi but nyi hamkubali kuna slums darMimi naamini nachart na mtu,sio mbuzi.usitake niamini vingine.
Embu rudi kaanze kupitia swali kwanza kabla ya jibu,inawezekana umesahau uliuliza kitu gani.
Kwani kibera si mnasema ina aparment za maana pia???
Ni kazi kwenu kuthibitisha hilo,iwe kwa picha au Maelezo kutoka vyanzo mbalimbali.Sisi tushakubali kuna slums Nairobi but nyi hamkubali kuna slums dar
Wacha kusema maneno ambayo umetoa kichwani. Kibera haina apartments coz ni slum. Nataka tukubaliane kwamba ile picha ilileteletwa hapa ni ya DarMimi naamini nachart na mtu,sio mbuzi.usitake niamini vingine.
Embu rudi kaanze kupitia swali kwanza kabla ya jibu,inawezekana umesahau uliuliza kitu gani.
Kwani kibera si mnasema ina aparment za maana pia???
Mimi natoka kijijini,sijui kutumia Google embu fanya nifahamu hapo ni dar sehemu gani.Use google image search utajua ni wapi. Utakua mkaazi wa kijijini hata mjini hujakanyaga maana hujui jiji lenu kubwa zaidi.😀😀😀
So hesabu za 2.5ml ziendelee,OK.Wacha kusema maneno ambayo umetoa kichwani. Kibera haina apartments coz ni slum. Nataka tukubaliane kwamba ile picha ilileteletwa hapa ni ya Dar
Kama umetoka Kijijini huwezi elewa. Chenye naweza kueleza, kaa ukijua siku utafika Dar utaishi nyumba kama hizo.😀😀😀Mimi natoka kijijini,sijui kutumia Google embu fanya nifahamu hapo ni dar sehemu gani.
Kwahiyo umeshindwa kabisa kusimamia ulicholeta???Kama umetoka Kijijini huwezi elewa. Chenye naweza kueleza, kaa ukijua siku utafika Dar utaishi nyumba kama hizo.😀😀😀
Hahaha...hiyo ni kaliKama umetoka Kijijini huwezi elewa. Chenye naweza kueleza, kaa ukijua siku utafika Dar utaishi nyumba kama hizo.😀😀😀
Hahaha...leo umewaamulia. Hata hizo watakana tu
Utaskia wakisema ati izo ni picha za madhare😀😀😀Hahaha...leo umewaamulia. Hata hizo watakana tu
Kuna zingine hadi wanasema ni za Congo na Sierra Leone! Wabongo ni watu wa ajabu sana...Nashangaa mbona wanajigamba hapa vile wako na nyumba Dar, eti wao hawapangishi. Kama hizo ndo nyumba wacha tu ikaeUtaskia wakisema ati izo ni picha za madhare😀😀😀
70% ya Dar population are slum dwellers, kana nikuprove wrong😀😀😀...Thats a population of 2.8mSo hesabu za 2.5ml ziendelee,OK.
Pale sio dar.
Nimegoogle dar es salaam slums,angalia majibu.Kuna zingine hadi wanasema ni za Congo na Sierra Leone! Wabongo ni watu wa ajabu sana...Nashangaa mbona wanajigamba hapa vile wako na nyumba Dar, eti wao hawapangishi. Kama hizo ndo nyumba wacha tu ikae