Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

70% ya Dar population are slum dwellers, kana nikuprove wrong😀😀😀...Thats a population of 2.8m
Tupia picha za slum dar unaruka Massa sita now.hizi nine Google.
Screenshot_2018-05-27-18-03-53.jpeg
Screenshot_2018-05-27-18-04-15.jpeg
 
Kuna zingine hadi wanasema ni za Congo na Sierra Leone! Wabongo ni watu wa ajabu sana...Nashangaa mbona wanajigamba hapa vile wako na nyumba Dar, eti wao hawapangishi. Kama hizo ndo nyumba wacha tu ikae
walileta wenzio kina collo mzii tukamletea ushshidi kua ni siera lione akakimbia mpaka leo hayupo😀😀

endeleeni kuokota picha za google ila dar itawanyima usingizi mpaka yesu ashuke😛
 
nitumie hio link nikunyooshe heheh 😀😀
tuma link hapa kama we mwanaume mwenye makende alaf uone
we dawa yako ni ndogo sana tuma link hapa

tanzania nzima huwez pata nyumba wall ni mabati sasa kama ww mwanaume wa kweli tuma link alaf uone kama jamii forum hukupachukia
Screenshot_20180527-164305.png
Screenshot_20180527-164311.png
Screenshot_20180527-164317.png
 
Back
Top Bottom