Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

is that link hehehhe mkenya boya kweli wewe
😀😀😀😀😀 hio ndio link
unaogopa kutuma link ushajua wapi ntakukamata hehhe na ningekunyoosha mpaka ungepachukia jamii forum
Hakuna haja nikuletee link na nimejua hutasoma, so nimescreenshot ili kila mtu aone
 
Ppf wanajenga a big conference centre hapo pembeni ya hilo tower ..plus mlimani conference centre and TCAA conference centre .. sam njuoma road inazid kuwa
hawa watailewa tu dar walijua bado ni ile tz ya 90s
 
Hivi nyinyi hakuna picha ya Dar mnayokubali ni Dar apart from the 3 towers and BRT?😀😀😀
hasa mama sehemu siyo yenyewe tukubali ilu iweje...?...sehemu ikiwa dar mbona tunawakubalia mfano jangwani tumewakubalia nakuwarekebisha kama jangwani sasa hivi ni kupo open nyumba zilivunjwa
 
hasa mama sehemu siyo yenyewe tukubali ilu iweje...?...sehemu ikiwa dar mbona tunawakubalia mfano jangwani tumewakubalia nakuwarekebisha kama jangwani sasa hivi ni kupo open nyumba zilivunjwa
na wakitaka ushahidi wa jangwani waseme tu
 
Back
Top Bottom