Bottas
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 1,817
- 1,142
Sawa endelea kupost picha za kibera kila siku ni haki yako.acha hasira budaa huu uzi hautafungwa mpaka kieleweke 2020😀😀😀😀
Sawa endelea kupost picha za kibera kila siku ni haki yako.acha hasira budaa huu uzi hautafungwa mpaka kieleweke 2020😀😀😀😀
mpaka miradi yote inayoendelea tanzania iishe ndio huu uzi utafungwa😀😀😀😀Sawa endelea kupost picha za kibera kila siku ni haki yako.
Nakuuliza mbona hiyo picha ya Dar niliyoleta haujaikana jinsi umekuwa ukikana zile zingine?sehemu hakuna access of road, no water nyumba anazotakiwa kuishi nguruwe anaishi binaadamu alafu unataka kusema muna nafuu au mzungu kawaonea kuita slum???😀😀😀😀
siwez kukana hata siku moja kama ni dar nakwambia mbona jangwani nilikwambia na ushahidi nikakuletea lakin sehem sio dar siwez kusema ndio we vpNakuuliza mbona hiyo picha ya Dar niliyoleta haujaikana jinsi umekuwa ukikana zile zingine?
hamnaga sehemu nyingine zaidi ya hizo....tu hizo picha ni za kila siku mnaletewa picha mpya nyie mmeng'ang'ana na hizo hizo

These pictures have never been posted here. Hata hivyo, how many times fo you post those three blue towers and brt on this forum? just askinghamnaga sehemu nyingine zaidi ya hizo....tu hizo picha ni za kila siku mnaletewa picha mpya nyie mmeng'ang'ana na hizo hizo![]()
![]()
![]()
zimepostiwa sana na mkenya akiitwa wanjala hehehe alipost sana tu rudi page za nyuma sana😀😀These pictures have never been posted here. Hata hivyo, how many times fo you post those three blue towers and brt on this forum? just asking
wenzako walioanza na hii thread wanaelewa........hayo mapicha kila mara tumewaletea new picture na bado zipo kibao zinakula hayo maeneo mara 1000 wait picha zipigwe...These pictures have never been posted here. Hata hivyo, how many times fo you post those three blue towers and brt on this forum? just asking
huyo mgeni mkenya asipopost hizo estate hana kingine......maana hapo ndiyo mwisho wa nairobi...zimepostiwa sana na mkenya akiitwa wanjala hehehe alipost sana tu rudi page za nyuma sana😀😀
Hehehe...unaenda kupiga picha saai kisha upost?wenzako walioanza na hii thread wanaelewa........hayo mapicha kila mara tumewaletea new picture na bado zipo kibao zinakula hayo maeneo mara 1000 wait picha zipigwe...
Toa hizo uchafu...zinaharibu uzi
Kama we ni mwanaume fungua uzi wa surburb kati ya nairobi na dar tuone, kazi yenyu ni mdomo mingihamnaga sehemu nyingine zaidi ya hizo....tu hizo picha ni za kila siku mnaletewa picha mpya nyie mmeng'ang'ana na hizo hizo![]()
![]()
![]()