Mko na access ya kujenga coz kipande na ardhi sio ghali Dar jinsi ilivyo Nairobi. Pesa yenye unaweza nunua 1/8 of an acre Nairobi mtu anaweza pata nayo hekari mbili au zaidi Dar. Hii ndio maana mimi husema Dar is not a competitive city like Nairobi, sio eti watu wa Dar wako na uwezo wa kipesa kununua ardhi kuliko watu wa Nairobi.In fact, watu Nairobi wako na mihela kuliko watu wa Dar but considering hadhi ya Nairobi, kila kitu huku ni expensive. Then kitu ingine unafaa kuelewa ni kwamba there are government regulatory agencies ambazo zinaregulate kodi za nyumba. Japo kila mtu ako na uhuru wa kulipsha rent kivyake, kuna viwango fulani ambazo vimewekwa so huwezi lipisha zaidi ya hizo viwango.