ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
uhahhaha ndio inauokuumiza lakini😀😀😀Huu uzi umechoka sasa hii picha nimeiona japa mara ya mia moja sasa
acha kupanic kaka😛😛
uhahhaha ndio inauokuumiza lakini😀😀😀Huu uzi umechoka sasa hii picha nimeiona japa mara ya mia moja sasa
Sema tu umezikubali zote. Moyo inakubali lakini ulimi inakataa. Hiyo Boma huwezi hata linganisha na Sarova Stanley ama hata Radison Blue. Hapo sijataja Kempinsky au Sankara. Iko chini ya hizo zote in terms of luxurykatika picha zoote ulizokuwa umezituma hii ndiyo kidogo ipo gud nimeipenda chukus 5
Umehepa story ya anga sasa unajiconsoleuhahhaha ndio inauokuumiza lakini😀😀😀
acha kupanic kaka😛😛
umetisha mkali......vile vibanda vyao kushneinimecheka sasa kwamba wakalilie chooni😀😀
hii wewe huikubali sea cliffSema tu umezikubali zote. Moyo inakubali lakini ulimi inakataa. Hiyo Boma huwezi hata linganisha na Sarova Stanley ama hata Radison Blue. Hapo sijataja Kempinsky au Sankara. Iko chini ya hizo zote in terms of luxury
Wachana na habari za sijui 2016 picha nishaa kuekea ya izo aparment block zoom alafu uhesabu floors saa zingine unapenda kubishana kijinga, initial plan ya apartments ilikua 24,24,25,28 sasa ivi lile jengo fupi ambalo lime topout liko 30-31floors na mengine yanaendelea kupanda. .. .saa zingine si poa kubishana kijingaso aliposema zote 30 alikua na maana gani??😀
and mimi kuna kitu hapa kinanitatiza
View attachment 783947
whats the use of aerial view ??? tuanze hapoUmehepa story ya anga sasa unajiconsole
yani leo nimecheka sana kwamba avic majengo yote over 30 basi wacha tusubiri😀😀😀Wachana na habari za sijui 2016 picha nishaa kuekea ya izo aparment block zoom alafu uhesabu floors saa zingine unapenda kubishana kijinga, initial plan ya apartments ilikua 24,24,25,28 sasa ivi lile jengo fupi ambalo lime topout liko 30-31floors na mengine yanaendelea kupanda. .. .saa zingine si poa kubishana kijinga
Si bado naona cbd hapo kina mzizima towers?hii ni part of oyesterbay my friends very small portion hehheheh
View attachment 783956
nairobi walker ni noma kazipeperusha hotel zote za kenya nakuzipa 5* makofi kwake jamanimijadala mingine ni ya kumaliza fasta tu. nawashangaa mnavyorushiana maneno!!
Ukitafuta hoteli za nyota tano kati ya hii miji, fasta unapata jibu hadi na bei.
ingia hapa
Luxury Hotels Guides | 5 Star Best Luxury Hotels
andika Nairobi (alaf ukalilie chooni)
Ingia hapa
Luxury Hotels Guides | 5 Star Best Luxury Hotels
andika Dar es salaam (jibu kaa nalo moyoni)

Office liko 22-23flrs hapo, la hotel liko 13flrs hapo so ni aparments tu ndio kwa sasa ziko 30flrsyani leo nimecheka sana kwamba avic majengo yote over 30 basi wacha tusubiri😀😀😀
mzizima iko upande wa upanga east nafkiriSi bado naona cbd hapo kina mzizima towers?
so aliposema majengo yote ni over 30 alikua na maana gani??😀😀😀Office liko 22-23flrs hapo, la hotel liko 13flrs hapo so ni aparments tu ndio kwa sasa ziko 30flrs
Wacha kumponda pengine alikuwa anamaanisha juu la ofisi linafaa kufika initial 42 flrs na la hoteli 35flrs yote majengo sita Yatakua over 35flrs.so aliposema majengo yote ni over 30 alikua na maana gani??😀😀😀
So tofauti ua upanga na posta nini juu mimi kote naona tu kama ni cbd?mzizima iko upande wa upanga east nafkiri
kasema majengo yote ya avic ni over 30 kwann nimsingizie 😀😀😀😀 kwan tunaushindani wakijinga hapaWacha kumponda pengine alikuwa anamaanisha juu la ofisi linafaa kufika initial 42 flrs na la hoteli 35flrs yote majengo sita Yatakua over 35flrs.
yaani tunafel kwenye camera safi tu ili hayo maeneo yaweze kuonekana pia...temeke area
View attachment 783980
upanga iko karibu na CBD coz upanga ni kubwa sana na CBD ni kubwa sanaSo tofauti ua upanga na posta nini juu mimi kote naona tu kama ni cbd?
alaf watanzania hatuna desturi za kupiga mapicha yani hatuna zile sifa sifayaani tunafel kwenye camera safi tu ili hayo maeneo yaweze kuonekana pia...