Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

part of upanga baby
DCA9FABD-7FCF-40F8-93B9-718CB1F2AB7C.jpeg
 
part of ilala tena ilala ndio sehemu inauojengeka kwa speed kubwa sana i think dar nzima yani ni karikoo part 2😀😀😀
C1E721A4-0C76-485A-8386-BB73E2B60DB5.jpeg
 
hujanijibu swali nimekuuliza zote ni over 30 jibu swali alaf tuendelee kwenye mjadala😀😀😀
Sasa kama hujui upgrade ni nini unataka nikujibu aje? for the second time, do you know what an upgrade is?
 
Sasa kama hujui upgrade ni nini unataka nikujibu aje? for the second time, do you know what an upgrade is?
narudia swali langu majengo yote ni over 30 mbona swali rahisi sana au ni gumu kwako😀😀😀😀
 
Mbona umekwamilia tu hiyo kijiji (Kijichi)? Kwani hakuna lingine? Leta picha za anga kutoka temeke, Mwananyamala, Ubungo, Sinza, Kisutu, Mwenge, Magomeni, Kinyerezi na kadhalika. Tunatamani kuona zile "dream houses" za Dar tucheke kidogo
temeke area
2B3B16AF-246F-43AD-988B-9E8DD1D68E63.jpeg
 
Mbona umekwamilia tu hiyo kijiji (Kijichi)? Kwani hakuna lingine? Leta picha za anga kutoka temeke, Mwananyamala, Ubungo, Sinza, Kisutu, Mwenge, Magomeni, Kinyerezi na kadhalika. Tunatamani kuona zile "dream houses" za Dar tucheke kidogo
part of magomeni dar es salaam
EB7A5DBD-9D5E-4119-9460-2DB3CE469D90.jpeg
 
Mbona umekwamilia tu hiyo kijiji (Kijichi)? Kwani hakuna lingine? Leta picha za anga kutoka temeke, Mwananyamala, Ubungo, Sinza, Kisutu, Mwenge, Magomeni, Kinyerezi na kadhalika. Tunatamani kuona zile "dream houses" za Dar tucheke kidogo
another part of magomeni dar es salaam
D10CCD98-B0E7-4C81-801A-B4CAF4007E45.jpeg
 
Nyinyi midanganyika mnachekesha kweli. Yani hizo picha zilizoletwa zote zilipigwa picha za nje tu!!! Ile hong kong mlileta picha yake hapa mlileta picha za ndani? Na zile vijiapartment mnaita hoteli je? Vita vya mdomo hamna mpinzani ukanda huu ila matendo zii
wacha kujifanya haujui.......kwa hotel nairobi bado sana.....
 
Wow...the level of planning in that estate is amazing! I can see very wide roads and plsnty of dream houses with swimming pools all over. So this is Temeke, how about the other estates?
umeumia sana hehehe 😀😀😀 every one own his house hakuna watu kukodisha nyumba kwenye estates
 
Back
Top Bottom