Bottas
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 1,817
- 1,142
Vijana mnapiga domo sana. Mmeshindwa kushirikiana au hotels zimeisha?
City lodge hotel upperhill 😀😀😀Vijana mnapiga domo sana. Mmeshindwa kushirikiana au hotels zimeisha?
Vijana mnapiga domo sana. Mmeshindwa kushirikiana au hotels zimeisha?
City lodge hotel upperhill 😀😀😀Vijana mnapiga domo sana. Mmeshindwa kushirikiana au hotels zimeisha?
Leo umewatoa sana povuWakenya hawana cha maana.
blue pearl hotelCity lodge hotel two rivers mall View attachment 782954 View attachment 782955 View attachment 782957 View attachment 782958
Toa uchafu hapa😀😀😀😀Yaya hotel kilimaniView attachment 783027 View attachment 783028 View attachment 783030 View attachment 783031 View attachment 783032
Nimeona kijana wa Nairobi. Ameanzisha thread. Hii nidhahili hawa jamaa tumewashika vibaya sana wanatapa tapa tu. Mimi nimempuuza tu maana hiyo thread itajifia yenyewe. Anatafita attention yani jama kama mtoto. Hawezi kuvumilia maumivu.land mark dar
View attachment 783020
wamesahau waziri wao najib balala alichozungumza😀😀😀😀😀Nimeona kijana wa Nairobi. Ameanzisha thread. Hii nidhahili hawa jamaa tumewashika vibaya sana wanatapa tapa tu. Mimi nimempuuza tu maana hiyo thread itajifia yenyewe. Anatafita attention yani jama kama mtoto. Hawezi kuvumilia maumivu.
hazizidi 5How many 5 star hotels in Nairobi?
hehhe kakimbia hapa kakutana na kibano cha kisawasawa hapa 😀😀😀😀Nimeona kijana wa Nairobi. Ameanzisha thread. Hii nidhahili hawa jamaa tumewashika vibaya sana wanatapa tapa tu. Mimi nimempuuza tu maana hiyo thread itajifia yenyewe. Anatafita attention yani jama kama mtoto. Hawezi kuvumilia maumivu.
anaitwa najib balala waziri wao wa utalii aliwaambia kua wanashindwa utalii kwasababu wana hoteli za miaka 40 iliopita wakat tanzania kuna modern hotels😀😀😀Hawaiwez dar kwenye hotel ..yule tourism officer wao cjui minister c alishawaaibisha![]()
anaitwa najib balala waziri wao wa utalii aliwaambia kua wanashindwa utalii kwasababu wana hoteli za miaka 40 iliopita wakat tanzania kuna modern hotels😀😀😀
Sasa tukiongea zenye ziko njiani ata usitaje na zote ni international brands kamaNa bado mawe ya moto yanakuja Kutoka Dar
This year
Rotana hotel 5star
City Lodge hotel kama sikosei 5star if not 4
Morocco Square Hotel 4star