Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Oneni huyu!!! Eti Mbezi beach ndio landmark ya Dar! Hahahahha....OMG, mbavu zangu zauma. Hivi, wewe unajua maana ya landmark kweli?The Landmark Mbezi Beach Hotel Dar es Salaam
![]()
![]()
![]()
Oneni huyu!!! Eti Mbezi beach ndio landmark ya Dar! Hahahahha....OMG, mbavu zangu zauma. Hivi, wewe unajua maana ya landmark kweli?The Landmark Mbezi Beach Hotel Dar es Salaam
![]()
![]()
![]()
Mnona neno aerial view kwenu ni kidonda? Kila time ikitajwa mnashikwa na hamakiZikitumwa mnaomba aerial views,nyie yafaa kupimwa tezi dume bila kilainishi.
Zikitumwa mnaomba aerial views,nyie yafaa kupimwa tezi dume bila kilainishi.
Hii inafanana na hoteli fulani kule maeneo ya Ruiru mjini on your right ukielekea Thika town. Inaitwa Rainbow hotel kama sijakosea. Hoteli ya kawaida sana. nashangaa huko kweli linatajikaRamada resort dar es salaam
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Rainbow Hotel Dar Es Salaam
![]()
![]()
![]()
Watajuaje wakati wanaishi mbagala, tandale, mwananyamala? wakiona nyumba nzuri wanadhani ni hoteli.Hiyo sii hoteli boss, hayo ni makazi. Yaani kweni nyumba nzuri zote ni hooteli hadi hamuamini watu wanaweza ishi kwa nyumba kama hizo?😀😀😀😀
Kila mara wananiambia humu twende moja kwa moja Dar na Nairobi hata ongeza Mombasa na Kisumu na Nakuru hadi nadhani Dar kuna hoteli kumbe wapi. Yani kuna five star hotel nyingi sijapost na majamaa washaanza kupost Kula Raha Kibandaski.😀😀😀😀Watajuaje wakati wanaishi mbagala, tandale, mwananyamala? wakiona nyumba nzuri wanadhani ni hoteli.
Mwambie atume hotel za maaana..five starGrand Royal Hotel
![]()
hii sasa ni 5 star!!!!Hong Kong Hotel Dar Es Salaam
![]()
![]()
![]()
Maneno mengi sana. Vihoyel vyenyewe kama motel. Hahahaha!! Nairobi Old DesginsHizi ndio hoteli naskianga mkichocha eti Dar kuna hoteli?😀😀😀😀 Hamna tofauti na zile brothel za River Road
Fairview hotel Nairobi
![]()
![]()
![]()