NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,977
Boss, post hoteli bwana. Hii ni nini? Rais wa nchi jirani akija Tanzania anaweza lala hapo?😀😀😀😀Hong Kong Hotel Dar Es Salaam
![]()
![]()
![]()
The Sarova Stanley
Boss, post hoteli bwana. Hii ni nini? Rais wa nchi jirani akija Tanzania anaweza lala hapo?😀😀😀😀Hong Kong Hotel Dar Es Salaam
![]()
![]()
![]()
Fairview is Royalty. Wewe wacha kutupostia brothels za katikati mwa jiji ukiita hoteli. Sasa hiyo Hong Kong Hotel ndio nini hiyo?Maneno mengi sana. Vihoyel vyenyewe kama motel. Hahahaha!! Nairobi Old Desgins
Mnachekesha kabisa vijana. Ngoja leo niwakomeshe. Kwikwikwikwi
Mbona ukitupia kapicha kamoja unaanza kulia lia. subiri dawa ikuingie. Nakuona unatuwekea Motel hapa sisi tupo kimya tu. Wewe maneno mengi kweli kama mgonjwa ma mapunye. KwikwikwikwiKila mara naskianga eti Dar kuna hoteli. Leo nimeamini hata Nakuru iko mbele kushinda Dar sekta ya hoteli. Kitu ya maana hapo ni Kilimanjaro na Ramada na Serena. Zingine uchafu.😀😀😀
Acha kulia lia kijana. Umeishiwa nini. Maana maneno yamezidi vitendo. Kwikwikwi. Waambie wenzako wakusaidie, niytakuua.Fairview is Royalty. Wewe wacha kutopostia brothels za katikati mwa jiji ukiita hoteli. Sasa hiyo Hong Kong Hotel ndio nini hiyo?
Kijana toa hapa aibu bwana. Tuwekee Hoteli ya maana kama hiiTanzanite executive suites dar es salaam
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Motel gani nimewawekea. Wewe weka picha za hoteli za maana kama huna kubali. Sasa hiyo Hong Kong na Tanzanite suites ni Hoteli? Nakupa vitu kama Tribe, Laico, Safari Park na wewe unanipa brothel ya Kariakoo? This is such a wasteMbona ukitupia kapicha kamoja unaanza kulia lia. subiri dawa ikuingie. Nakuona unatuwekea Motel hapa sisi tupo kimya tu. Wewe maneno mengi kweli kama mgonjwa ma mapunye. Kwikwikwikwi
So kwa akili yako hii pia ni 5-star hotel? hii inafana na hoteli fulani kwa jina creadex kule kwetu MigoriRainbow Hotel Dar Es Salaam
![]()
![]()
![]()
Jamaa anapost vitu zinakaa brothel za River Road anaita hoteli. Eti anataka kuzilinganisha na Sarova Stanley. Leo ndio nimeamini Dar hakuna hoteli.😀😀😀😀So kwa akili yako hii pia ni 5-star hotel? hii inafana na hoteli fulani kwa jina creadex kule kwetu Migori
Kama mmeishiwa semeni vijana naona malalamiko yamezidi. Au niache? Ngoja nitupie kama ishirini hivi halafu naacha. Sawa vijana maana mnalia sana.Jamaa anapost vitu zinakaa brothel za River Road anaita hoteli. Eti anataka kuzilinganisha na Sarova Stanley. Leo ndio nimeamini Dar hakuna hoteli.😀😀😀😀
Story nyingi ni hulka ya wababaishaji.Kama mmeishiwa semeni vijana naona malalamiko yamezidi. Au niache? Ngoja nitupie kama ishirini hivi halafu naacha. Sawa vijana maana mnalia sana.
Kijana, acha siasa post Hoteli ya maana. Nakupa hoteli za maana unapost vibanda? Wewe ndiye umeishiwa.Kama mmeishiwa semeni vijana naona malalamiko yamezidi. Au niache? Ngoja nitupie kama ishirini hivi halafu naacha. Sawa vijana maana mnalia sana.
Hawa wanaweza tu vita za mdomo. Zinaitwa vita baridi. Ukiwaita kwenye uwanja wa vita utaona vituko. Sasa wanaleta hadi furnished suites na kuziita hoteliJamaa anapost vitu zinakaa brothel za River Road anaita hoteli. Eti anataka kuzilinganisha na Sarova Stanley. Leo ndio nimeamini Dar hakuna hoteli.😀😀😀😀
Pwahahaha forgive him...ushamba ndio mingi...ati 5 star hotel😀😀So kwa akili yako hii pia ni 5-star hotel? hii inafana na hoteli fulani kwa jina creadex kule kwetu Migori