Very nice three blue buildings. What happened to the rest of the buildings in the foreground? They look so old
haya niambie hapo jengo gani linaelekea 30😀😀😀😀😀😀 iko wapi inaelekea 30 kwann siku zote unakua mpuuzi weweIchoboy, sipendangi ubishi saa zingine, especially na wewe. Picha za Avic zimeletwa hapa countless number of times so usiniambie hujui construction imefika wapi. In the below picture, the tallest tower is almost reaching the 30-floor mark. Hiyo section iko ma green net alone has 19 floors if you count well. From that angle, there could be 7 or 8 floors kurudi chini kutoka mahali hiyo green net imeanzia. So was I wrong to say inaelekea 30 floors? Unapenda ubishi sana wewe kijanaView attachment 778638
Resdential yenye ime topout ikov30flrs alreadyiwapi hio yaelekea 30??? hehehe
haya niambie hapo jengo gani linaelekea 30😀😀😀😀😀😀 iko wapi inaelekea 30 kwann siku zote unakua mpuuzi wewe
jengo liko 15floors unaniambia linaelekea 30 we akili yako iko sawa kweli????
...in the process of being torn down. 🙂Very nice three blue buildings. What happened to the rest of the buildings in the foreground? They look so old
Hizo ni cha mtoto zafikiResdential yenye ime topout ikov30flrs already
View attachment 778924 hesabu kwako sasa😀😀😀Picha ni mzee kidogo kabla tower one litopout
huu mwiba ni hatari kwa afya😀😀😀😀😀Hizo ni cha mtoto zafiki
Unajua Kawe 711 wewe?
![]()
![]()
![]()
Naifahamu tena sana, ni majengo sita ya ghorofa 18 alafu liko onhold on tangu 2016,leta picha tu moja itakayo onyesha hayo majengo yamepita ghorofa ya sita kama ilivyokuwa alafu nahama huu uzi😀😀😀Hizo ni cha mtoto zafiki
Unajua Kawe 711 wewe?
![]()
![]()
![]()
gorofa 18 tower ziko 11 inaitwa 711 kawe 😀😀😀😀😀 iga ufeNaifahamu tena sana, ni majengo sita ya ghorofa 18 alafu liko onhold on tangu 2016,leta picha tu moja itakayo onyesha hayo majengo yamepita ghorofa ya sita kama ilivyokuwa alafu nahama huu uzi😀😀😀
Wacha hadithi mingi liko on hold, liki resume unitag😀😀😀😀alafu si ulikua unabisha avic bado ziko 15flrs😱😀😀😀gorofa 18 tower ziko 11 inaitwa 711 kawe 😀😀😀😀😀 iga ufe
kihenge 😀Design za kizamani kabisa. Jengo kama kibuyu!!!
Whats kihenge in English? Linanipiga chenga😡Hahahaha!!! yaani shida sana hawa ndugu zetu. Sisi tunasonga mbele wao wanarudi kwenye vihenge
Hizo ni cha mtoto zafiki
Unajua Kawe 711 wewe?
![]()
![]()
![]()