si ulisema kenya hatuna supadip lensi😀😀😀Tumia lugha ya kiswahili vizuri.
Unamanisha nini "supadip lensi"?
What do you mean by being empty? Wewe ukiangushwa hapo Kilimani utatembea siku mzima ukitafuta njia ya kurudi town. Unafikiri hii ni ile Dar yenu iliyo na nyumba za gable everywhere zenye mabati zilizoparara na kuchanika? Huu mji umepangika babaaNairobi ipo empty kabisa
Muache bwana supadipu lensi aendelee kuumia tu😀😀😀What do you mean by being empty? Wewe ukiangushwa hapo Kilimani utatembea siku mzima ukitafuta njia ya kurudi town. Unafikiri hii ni ile Dar yenu iliyo na nyumba za gable everywhere zenye mabati zilizoparara na kuchanika? Huu mji umepangika babaa
Wacha hasira bwana supadip lensi😀😀😀Acha ujinga wako!!. Hapa tupo na battle Dar vs Nairobi.
Ukiishiwa pumzi usilete maneno ya kipuuzi yasiyo na maana.
Nimekuuliza swali unaruka ruka tu kama chura.
umeumia kuskia 30b usd😀😀😀😀😀
Nimeskia huo wimbo tangu 2014,si unajua nyinyi na nyimbo hamjambo😀😀😀umeumia kuskia 30b usd😀😀😀😀😀
takataka/vyuma chakavu.BRT ndio UJINGA HATUTAKUBALI KENYA WE BELIEVE IN KENYAN PRODUCTS HATUTAMBUI WAZUNGU KWA KILA KITU SISI... MA3 CULTURE 4LIFE...![]()
![]()
View attachment 777443View attachment 777444View attachment 777445View attachment 777446View attachment 777447View attachment 777448View attachment 777449View attachment 777450View attachment 777451View attachment 777452View attachment 777453View attachment 777454View attachment 777455View attachment 777456

wacahana na habari ya kujenga gas pipeline hio ilianza 2014 na 2016 ikaisha hapa tunazungumzia LPG plant sio pipeline boya wewe😀😀😀😀😀😀Nimeskia huo wimbo tangu 2014,si unajua nyinyi na nyimbo hamjambo😀😀😀
Najua nachosema hii habari LPG ya kwanza iletwa hapa na geza ulole 2014 na akasema wakaazi wa lindi ama sijui mtwara wamelipwa fidia ndio mradi uanze 2015😀😀😀Nimestuka kuskia mnaongelea hi maneno bado nilidhani hiyo LPG plant by sasa imemalizika😀😀😀wacahana na habari ya kujenga gas pipeline hio ilianza 2014 na 2016 ikaisha hapa tunazungumzia LPG plant sio pipeline boya wewe😀😀😀😀😀😀
ndio hapo zilikua project mbili tofaut kabisa kuna project ya kujenga gas pipeline from mtwara to dar hio ilianza 2014 ikaisja 2016 na pili LPG plant amabayo ilikua makampuni kama 4 hvi kuingia ubia na serekali but ikaonekana kama wabia wanataka kulalia serekali tukaifuta sasa imerudi tenaNajua nachosema hii habari LPG ya kwanza iletwa hapa na geza ulole 2014 na akasema wakaazi wa lindi ama sijui mtwara wamelipwa fidia ndio mradi uanze 2015😀😀😀Nimestuka kuskia mnaongelea hi maneno bado nilidhani hiyo LPG plant by sasa imemalizika😀😀😀
Naomba radhi huu mradi ulitajwa mara ya kwanza 2016Najua nachosema hii habari LPG ya kwanza iletwa hapa na geza ulole 2014 na akasema wakaazi wa lindi ama sijui mtwara wamelipwa fidia ndio mradi uanze 2015😀😀😀Nimestuka kuskia mnaongelea hi maneno bado nilidhani hiyo LPG plant by sasa imemalizika😀😀😀
Naomba radhindio hapo zilikua project mbili tofaut kabisa kuna project ya kujenga gas pipeline from mtwara to dar hio ilianza 2014 ikaisja 2016 na pili LPG plant amabayo ilikua makampuni kama 4 hvi kuingia ubia na serekali but ikaonekana kama wabia wanataka kulalia serekali tukaifuta sasa imerudi tena
huyu ni magufuli subiri uone maajabu😀😀
yap nilitaka kushangaa 2014 ilikua mradi wa bomba la gas from mtwara to dar na imeshaisha sasa mradi wa pili ulikua LPG plant😀😀😀😀😀Naomba radhi huu mradi ulitajwa mara ya kwanza 2016