Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,932
- 27,899
Zii, najaribu tu kutranslate hilo neno na haimake senseKwani swali lako umelisahau???
Zii, najaribu tu kutranslate hilo neno na haimake senseKwani swali lako umelisahau???
Haina maana ni sawa na uandike FIAT kiswahili inatamkwa FIATI.Na kitu umeniandikia hata haimake sense, "Tra" ni nini kwa kiswahili😀😀😀
Haha. Mkorinto huyoNimekubali sijui chochote.
Kwani ndio kichwa cha huu Uzi nani anajua zaidi??
Tandale anatokea pia msanii anayelipwa zaidi EA ktk show moja diamond platnumz.sibishani na mkaazi wa tandale
KENYA KILA. MTU NI HUSTLER HATA KAMA UNAISHI RUNDA AU KIBERA WHITE OR BLACK WE DONT WORSHIP WHITE PEOPLE IN THE NAME OF UJAMAA HATUPENDI UZEMBE SISIThat render building u posted belongs to Somali firm (Has Petroleum),
Kenya and Kenyans are poor as we can realize in unemployment and hunger and Kibera slums.
Wageni wazungu na wahindi na wasomali na familia ya Kenyatta na baadhi ya wanasiasa wakikuyu na wakalenjini ambao ni less than 5% ndio wanamiliki 90% ya uchumi wa Kenya while 95% of Kenyans including you mko mmejazana kibera mnafly vinyesi kwenye plastic bags, that's a true meaning of capitalism u embrace.
And besides, those powerful capitalist economies how far have they helped Kenya apart from milking Kenyans, grabbing your land, making you puppets to other African countries and using Kenya to counter alshabaab (A terrorist group funded by big capitalist nations) and eventually selling to your poor kdf more overpriced 5th grade weapons while making more money out of you poor Kenyans,
Wakati huo huo mkihitaji msaada wa kujengewa Barabara, reli au mkopo mnamgeukia mjamaa mchina,
Wtf.
Umenifurahisha leo😀😀😀... You should be a comedianHaina maana ni sawa na uandike FIAT kiswahili inatamkwa FIATI.
Ukiniuliza nini maana ya FIATI nitakwambia hilo ni jina la kampuni ya kuunda malori.
yaani hata simuelewagi yule mdada wakikenya yaani anaforce gameTunaenda hivyo kama ilivyokuwa katika music industry mpaka sasa hammjui imekuwaje.
Eti akothee naye ni music icon in Kenya.poa![]()
![]()
jiandae kisaikolojia huko ktk mpira.
TZ ipo so talented.......chief sema kwenye huu mpira wa miguu hatujaamua tu kutilia mkazo laiti tukitilia mkazo .....hata timu kongwe ya taifa ingekuwa inasumbua sana kiduniahizo tunawachia toddler humu...we dont participate in mediocre tournaments
Wewe unaongea vibaya na hamko ligi ya Kenya. Si mngoje mfike middle income ndio muanze kuongea matope.Nairobi is a home of all major slums in Africa and world in General, View attachment 775690
Wacha ignorance buda. Kwa tallest buildings, toka huko haraka. Huko hakuna debate. Kila mtu anajua nani anazo buildings ndefu.Uliza ndugu yako ichoboy atakueleza.Kwikwikwi
Show me tallest building iliyopo kenya inazidi
TPA Tower. Weka picha hahahahaha!!
![]()
Hatujawahi kuwaza kuwa ligi moja na Kenya,haiwezi kuwa mfano kwetu kwa chochote.Wewe unaongea vibaya na hamko ligi ya Kenya. Si mngoje mfike middle income ndio muanze kuongea matope.
They good kwa kuongeza minara ..Weka picha
Jamaa Kwa kupenda suti hadi kwenye kuzibua mitalo ya mavii wanavaaga suti na tai tena oversize
So kigezo cha matumizi ya internet ni how many t.v apps are downloaded? Go back to class one.buda naona umeandika maneno mengi sana.
let use citizen tv mobile app as a case study.the app was released in 2015,mpaka leo downloads hazijafika one million.
app ya azam imekuwa released last year, download imefika one million.utaniambiaje kenya mnaongoza kwa matumizi ya internet ilhali app zenyu zina download chache?.
nijibu bila emotions pls.![]()
![]()
![]()