Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Is that Spanish or English? Halafu mtaanza kusema tunawadharau. Sio lazima uandike kwa kizungu kama hauna ufasaha
Mbona mzungu akiongea kiswaili kibovu umdharau hata akikuomba uwe mkewe unamshukuru mungu ulivyo na laana
 
siyo unaongea..........tu sisi tunazungumzia timu za wanawake na serengeti boys u17 na u18....Hebu toa evidence yeyote ya kombe la dunia mlilowahi kuchukua kwa U18 na U17 Tokea kenya inazaliwa
HIZO TULIWAACHIA NDIO ATLEAST TUWE FAIR WE DEAL WITH INTERNATIONAL STUFF
Screenshot_20180514-151610.jpg
 
Mbona mzungu akiongea kiswaili kibovu umdharau hata akikuomba uwe mkewe unamshukuru mungu ulivyo na laana

Hueziandika sentensi refu ivo bila comma ama full stop, kwani unahara😀😀😀... Hata mwenye anahara huwa anapumzika kidogo before aendelee😀😀
 
There are numerous countries that speak English in parliament but they are not British nor Britons and furthermore English is a Kenyan national language so why should Kenyans not use it?
Kenyan nation language kabisaa.huoni shida kuandika????.

Uingereza watajitambulishaje mbele za watu???
 
Kenyan nation language kabisaa.huoni shida kuandika????.

Uingereza watajitambulishaje mbele za watu???
Ni national language si nation language😀😀😀😀...Mtafunzwa hadi lini. Kama hizi ndizo akili mko nazo then I pity your teachers😀
 
Ni national language si nation language😀😀😀😀...Mtafunzwa hadi lini. Kama hizi ndizo akili mko nazo then I pity your teachers😀
Unanililia Mimi kukosea kuandika kiingereza!!!!!usijisumbue hiyo haijawahi kuwa kipaumbele cha huku.

Jisikitikie wewe mkenya usiye na lugha yako ya taifa.
 
As you try so.much to sell Azam and make it look like a giant company, just know that Nation Media Group is the largest media house in east and central Africa. Someni number kabisa
At nini?
 
siyo unaongea..........tu sisi tunazungumzia timu za wanawake na serengeti boys u17 na u18....Hebu toa evidence yeyote ya kombe la dunia mlilowahi kuchukua kwa U18 na U17 Tokea kenya inazaliwa
hizo tunawachia toddler humu...we dont participate in mediocre tournaments
 
Unanililia Mimi kukosea kuandika kiingereza!!!!!usijisumbue hiyo haijawahi kuwa kipaumbele cha huku.

Jisikitikie wewe mkenya usiye na lugha yako ya taifa.
That's why your education system will continue lagging behind...By the way ebu andika Trimethylamine in kiswahili nione😀😀
 
hizo tunawachia toddler humu...we dont participate in mediocre tournaments
Tunaenda hivyo kama ilivyokuwa katika music industry mpaka sasa hammjui imekuwaje.

Eti akothee naye ni music icon in Kenya.poa jiandae kisaikolojia huko ktk mpira.
 
Sasa mkikutana kama scientists from different countries uende na hiyo traithelamaini yako, nani atakuelewa
 
Back
Top Bottom