Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haha kwahyo mlikosea plan au ndio u kenge wenu unajidhihirisha...MoroGoro road ya Dsm ni worth more japo Ina lane 4 plus 2 za BRT ...unajenga highway kifala sahii mnataman BRT ambayo ni gharama sana kujenga kuliko iyo highway
Tungelikosea plan hiyo barabara ingekua imefungwa by now.
 
So hii kukojoa ukalale imetoka wapi. I mean,are you kind of crazy. You saw a challenge in my post? In any case why should it even be a challenge.
Bro sometimes embu tumieni akili wakati mnatype ili kuepusha aibu,

Kwamba magari ni mengi sana ndio maana foreni ni kubwa,au mji haukujengwa kuruhusu magari kuingia mjini kwa pamoja???halafu yawezekana kabisa wewe ni above 18yrs.
 
per your fellows, kigezo cha matumizi ya internet ni ku-stream youtube.nenda kale githeri.
IMG-20160909-WA0014.jpg
 
Back
Top Bottom