Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Assume there is no running, Kenya is zero.
And besides only one tribe represents the entire Kenya in marathon, ama namna gani
Kenyan athletes mostly ni wakisii,wakale,wakikuyu,wamasai na wakamba....hii ujinga wa kusema ni only nilotes wacha.
 
Yanga na Simba yenyewe haiwezi chapaa Gor..ni mchezo gani mnajua apart from umbea?
Yanga n
Wewe nadhani umekua juzi juzi. Mchezo kwetu ni burudani na siyo vita. Yanga na Simba zinawashabiki wengi sana. Hata huko kenya wapo wengi sana wanashabikia simba na yanga. Hakuna bongo anayeshabikia Gor mahia. Team za simba na yanga ni historical issues.
 
RIP wapi Jay456watt umesalimika bro
83F5B6A9-F2C6-48DF-B082-150258A54170.jpeg
 
kwasababu pesa nyingi tumepekeka kwenye maendeleo na ndio maendeleo yanayowanyima usingizi 😀😀😀
magu kiboko ya wakenya 😛😛😛
Maendeleo ya miradi hewa Alafu uchumi wa Tanzania unaporomoka.......ccm hamjambo kwa kuoika data nyie wavivu😀😀😀😀
 
Tanzania is a disgrace to the east African community due to their poor sporting Yani hakuna sport inaenda MBALI huko!? HIO stadium yenyu mlijengea kenya ikujange kucheza # Gor MAHIA vs Everton
Yale mashindano timu za Tz waliweka vikosi vya pili kwa sababu ligi ilikua imeshaisha na ma pro wapo likizo and the notice was short kuwaita. Timu za Tz zina ratiba nenda kawaulize Mamelodi sundowns wakiwa mabingwa wa Africa walikuja mwaka jana kutaka kucheza friendly matches bila taharifa waliondoka kama walivyo kuja. Ila usijali hao Gor Mahia watakutana na Yanga very soon then tuta bonga vizuri. Mchezaji yoyote wa Gor atakaye jituma akicheza na Yanga msimu mjao hamtakua nae, its well known Tz teams pay highest salaries in the region.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Acha feelings bratha and by the way shule nilisomea primary leave alone secondary IKIWEKWA Tz INAKUWA 'Modern University of Dar' so shut the hell up and Meditate pun the Ugly truth.... Laughing at a neighbor's Speck in the eye yet you have a LOG!! Tz bila Dar ni Home of Booshmen wacha slums Brazil zimeshinda Nai na slums lakini economy iko juu... # Tz poor Nation!
unaona sasa ulivyo,hapa tunazungumzia dar vs Nairobi!!ebu jaribu kuelewa kama unataka tz vs Kenya kuna uzi wake!! get back to your mind!!
eti Kenya economy iko juu????we sio mzima,unaumwa!!onana na daktari wako...
 
Yale mashindano timu za Tz waliweka vikosi vya pili kwa sababu ligi ilikua imeshaisha na ma pro wapo likizo and the notice was short kuwaita. Timu za Tz zina ratiba nenda kawaulize Mamelodi sundowns wakiwa mabingwa wa Africa walikuja mwaka jana kutaka kucheza friendly matches bila taharifa waliondoka kama walivyo kuja. Ila usijali hao Gor Mahia watakutana na Yanga very soon then tuta bonga vizuri. Mchezaji yoyote wa Gor atakaye jituma akicheza na Yanga msimu mjao hamtakua nae, its well known Tz teams pay highest salaries in the region.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app

Hao wanafungwa marangapi kombe la Mapinduzi mbona hatusemi
 
unaona sasa ulivyo,hapa tunazungumzia dar vs Nairobi!!ebu jaribu kuelewa kama unataka tz vs Kenya kuna uzi wake!! get back to your mind!!
eti Kenya economy iko juu????we sio mzima,unaumwa!!onana na daktari wako...

Wengine humu ni Vilaza
unapoteza muda kuwajibu
 
Yale mashindano timu za Tz waliweka vikosi vya pili kwa sababu ligi ilikua imeshaisha na ma pro wapo likizo and the notice was short kuwaita. Timu za Tz zina ratiba nenda kawaulize Mamelodi sundowns wakiwa mabingwa wa Africa walikuja mwaka jana kutaka kucheza friendly matches bila taharifa waliondoka kama walivyo kuja. Ila usijali hao Gor Mahia watakutana na Yanga very soon then tuta bonga vizuri. Mchezaji yoyote wa Gor atakaye jituma akicheza na Yanga msimu mjao hamtakua nae, its well known Tz teams pay highest salaries in the region.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Tanzania Football team iko ranked number ngapi na FIFA?
 
Hao wanafungwa marangapi kombe la Mapinduzi mbona hatusemi
Exactly! Thanks for pin pointing that.. kila wakija huwa wanatolewa hatua za mwanzo. I didnt kno kumbe uko informed mpaka kwenye sector ya michezo. You are too good to be true, keep it up Zuwenna. I am curious to know unachosomea
 
Ni aibu nchi ya watu milioni 55 but talanta ni zero...
Hivi ni nini mko better than other east africa countries?
 
Back
Top Bottom