Ichoboy unahumiza watu roho. Kumbuka walikuwa na mgomo wakuto changia hii thread.😀😀😀 Itakuwa walienda Nairaland wakakuta nako wanigeria wamewasha moto😀😀😀giant
![]()
Ichoboy unahumiza watu roho. Kumbuka walikuwa na mgomo wakuto changia hii thread.😀😀😀 Itakuwa walienda Nairaland wakakuta nako wanigeria wamewasha moto😀😀😀giant
![]()
kwao tukio kama hili ni la sifa.afu mnatuambia eti Kenya hakuna wajinga...


na ndio lengo kuu dodoma😀😀😀😀dodoma yakijengwa majengo kama haya 10-15 floors itapendeza sana (kama yalivyo majengo mengi huko UK..10+ floors). Si lazima wajenge kama Dar 30+ floors
we waache waendelee kuota kua bado ni ile tz ya 90s😀😀😀😀😀dodoma kuchele, dodoma kumekucha.
jengo jipya la pspf lenye ghorafa 11 kuzinduliwa mda huu na rais magufuli. View attachment 754439View attachment 754440
nibalaa mkuu
international language??? ndo maana nakuambia hujitambui jombaa wamekuaminisha kuwa English ni lugha ya kimataifa na wewe umekariri hivyo..Nkt! We kwanza acha ni kuchanue kiasi ju nikama hujielewi.... Do you know the origin of swahili?? Jibu hio swali alafu ujiulize kama we ni mswahili Ujinga peleka kigoma bana.... English ni international language Acha ushamba buda.... Kama Kiingereza ni Miujiza kwakwo basi sijui ukiskia French utasemaje....
Haha sio kweli burger izo hata chalinze zipoNairobi a world class city, the only city in EA and CA region with BURGER KING restaurants. Nairobi imejaa international products and services ambavyo huwezi pata Dar.
![]()
😀😀Tunaomba kuona gari la Gor....
# Tunaomba Travelator ya JKIA Kenyans please.
Kwelikwanza umejump into conclusion naona
huwez compare mijumba kama TPA na ujinga wa britamMNF ikiisha itasumbua sana na vile ni pacha balaa tupu...hakuna miners mwendo wa up in the air tu


Wivu ni kidondaHizo ni vichochoro tunataka highway za maana sio huu uchafu unaleta
Haha acha kutulisha maneno...btw nmependa ulivyoweza kukariri nyumba za Dar yaonekana zimekuingia vilivyoLeta picha itakayo onyesha izo 37floors alafu ntatoka kwa i thread *****, tpa 35 mnasema 40,mzizima 33,35 mnasema 37 ,mnf 30 mnasema 32 yaani kila jengo lazima muongezee floors.
nachaajabu hata english yenyewe hawaijui vizuri...international language??? ndo maana nakuambia hujitambui jombaa wamekuaminisha kuwa English ni lugha ya kimataifa na wewe umekariri hivyo..
huku bongo hatushobokei hizo takataka kama French,English n.k huwa tunazitumia kama kukiwa na ulazima sana..
ktk afrika nyie wakenya bado mmetawaliwa ila hamjui tu!!nyie mnachonga ngenga tu hapo kibera.![]()
