Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Hii upanga kweli ni panga kali. Upperhill imeishindia kidogo tu. Hongera zenu
Hii upanga kweli ni panga kali. Upperhill imeishindia kidogo tu. Hongera zenu
Acha maneno yako wewe, kuna ruthless police kuzidi polisi ya Kenya hapa Africa?, kuna nchi inayokandamizi haki za binadamu zaidi ya Kenya?, vijana wengi hasa wa Mombasa wameuliwa na wengi kupotezwa na polisi kwa kuchukuliwa toka majumbani mwao na kupotezwa kwa kisingizio cha Alshabab, Magufuli ni kama anafanya mazoezi ya ukandamizaji wa demokrasia, ila ninyi ni kawaida yenu toka independence(Soma kitabu cha NOT YET UHURU)Ndio maana nasema aje huku, tutamruhusu kufanya apendavyo.
At least tunaonyesha three towers. You only show one tower.😀😀😀 Nairobi is a city of one tower😀😀😳View attachment 752183
Hiyo sio upanga, hapo ni Victoria, nje kabisa ya jiji, wala sio CBD hapoHii upanga kweli ni panga kali. Upperhill imeishindia kidogo tu. Hongera zenu
Okay inaonekana nina mengi ya kujifunzaHiyo sio upanga, hapo ni Victoria, nje kabisa ya jiji, wala sio CBD hapo
huwa naogopa kuku engage jinsi ulivo teen kiakili jizee kuukuu la 60s😀😀😀umenyoa mvi na cabbage kwenye makwapa lakini?😀😀😀 lakini ni just jokesnikikuita "msen.ge-nyaji" unakasirika.
but i love how you prefer to talk behind my back.....it's a proof you are afraid of me.
umenchekesha bana... watu wenu wamejaa huku kana kwamba wakimbizi toka somalia...wametoroka umaskini na uldc...wegine wanaomba omba jijini Nairobi..wengine wanakamatwa na polisi Meru..sasa hio ndio nchi tamu au? kama kuna nchi tamu ukanda huu ni Kenya...tunalea wakimbizi kuliko nchi yeyeote barani...wanakuja tu toka pande zoteTengenezeni wasanii wenu. Tanzania ni nchi tamu sana, hakuna mtanzania yeyote anaweza kuwa na hamu ya kukaa kenya.
i stand to be correct mkuuHiyo sio upanga, hapo ni Victoria, nje kabisa ya jiji, wala sio CBD hapo
Kila mtanzania mmoja anyevuka mpaka kuja Kenya, kuna wkenya ishirini wanaovuka mpaka kuja huko, hilo lipo wazi wala huna sababu za kubisha. Watu huwa wanaenda katika nchi yenye opportunities za kazi, yenye usalama na amani, yenye machimbo ya madini, yenye ardhi kubwa ya kilimo, vyote hivyo vinaifanya Tanzania kuwa kimbilio la wakenya na watu kutoka nchi zingine.umenchekesha bana... watu wenu wamejaa huku kana kwamba wakimbizi toka somalia...wametoroka umaskini na uldc...wegine wanaomba omba jijini Nairobi..wengine wanakamatwa na polisi Meru..sasa hio ndio nchi tamu au? kama kuna nchi tamu ukanda huu ni Kenya...tunalea wakimbizi kuliko nchi yeyeote barani...wanakuja tu toka pande zote
Haya ,ninyi wenyewe huwa mnaanzisha hizi mambo za Ku discuss watu ,halafu yakiwafika kooni mnaomba radhi!mfano hai ni yule engineer wenu aka mchicha mW*b*
Tallest than your tower mbili towershakuna archtech mbabaishaji kama aliyebuni hili jengo duniani.jengo la ki
ipuuzi sana.
sin uhakika kama hata kuna kampuni ya maana imepanga hapo.
Hadi wanaoa wakenyaumenchekesha bana... watu wenu wamejaa huku kana kwamba wakimbizi toka somalia...wametoroka umaskini na uldc...wegine wanaomba omba jijini Nairobi..wengine wanakamatwa na polisi Meru..sasa hio ndio nchi tamu au? kama kuna nchi tamu ukanda huu ni Kenya...tunalea wakimbizi kuliko nchi yeyeote barani...wanakuja tu toka pande zote
Mombasa is better than dar is slum.
Hueleweki na kiingereza chako cha kuunga unga.Mombasa is better than dar is slum.
okHueleweki na kiingereza chako cha kuunga unga.