Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
2 years tu...Ketraco signs Sh24b deal to power electric SGR trainsmuna launch when?? yani mumenifurahisha sana
electric kwa miaka 5 sahau kabisa yani msiwaze kabisa
2 years tu...Ketraco signs Sh24b deal to power electric SGR trainsmuna launch when?? yani mumenifurahisha sana
electric kwa miaka 5 sahau kabisa yani msiwaze kabisa
wow napenda kuiona gari moshi na nimefurah kusikia economy class nauli zimepanda from 700 to 1200kshgari moshi hizi zinawapa kiwewe sana...yes ni nzee ila mwendo ni huo huo tu wa 160km/hr...wazungu huwa wanasma better half a loaf than no bread...wanaozungumza hata rei hawana...ndio wanapambana na vumbi msituni kule![]()
![]()
ukwli ndio huo wala sijadanganya...2020 uchumi unakuwa 100 billion GDP...jengo ndefu barani tuna lcunch...reli tunapanda kwenda kampalamaisha yanabadilika kutokana na akili yako ilivyo.....sina shaka ila niseme hivi hii kauli mnayoipenda kuitamka kuhusu TZ ya "tuta"..ina mwisho wake ......
mkae mtambe mfanye lolote Tz lazima itakuja fanya mapinduzi ya kiuchumi tena makubwa...niishie hapo mimi ni mtu wakungojea result tu ipo siku mtakaa kimya....coz kenya haina cha maana ila ni propaganda tu zimetawala
sasa 1200 tu ndio inakupa kiwewe? wakenya wanapanda tu na hio nauli...nimewaambia hapa middle income..not LDCwow napenda kuiona gari moshi na nimefurah kusikia economy class nauli zimepanda from 700 to 1200ksh
😀😀😀 gari moshi haikimbii zaidi ya 110km per hr
hahahah from 700 to 1200 yani 500ksh more ni kawaida sana kwako au mchina anantaka loan yake irudi 😀😀sasa 1200 tu ndio inakupa kiwewe? wakenya wanapanda tu na hio nauli...nimewaambia hapa middle income..not LDC
... Godwill ama sio..keep dreaming.less than 24 hrs pole sana![]()
kisha garimoshi za Uganda zitakuwa za umeme...nasi pia godwilling tutakua tumeelectrify![]()
Chinese firm lends Kenya Sh25bn to electrify SGR - VIDEO
Kenya SGR electrification contract signed
dont blame me bro plz😀😀😀😀sasa 1200 tu ndio inakupa kiwewe? wakenya wanapanda tu na hio nauli...nimewaambia hapa middle income..not LDC
wacha wapate hopes maana wamechanganyikiwa na kasi ya magu 😀😀😀😀 yani magu amewakamata makei yao sasa hawajui waanzie wapi sasa wamejikuta kutumia train zilizotumika 100yrs ago in china... Godwill ama sio..keep dreaming.
yaani wewe umeongea ukweli.....hapa hakukimbiliki ila ipo siku utakuwa mdogotupo hapa tunasubiri hatutokimbia hata hio 2020 mimi nitakua hapa hapa Mola akinifikisha
Mara nyingi hua naangalia hata tulivo wapiga chin uwanja wa taifa tu Dar af bado uncle Magu anasimika kitu pale Idodomya. Itoshe kusema isingekua vita ya Uganda 78 hawa nyang'au sijui...wacha wapate hopes maana wamechanganyikiwa na kasi ya magu 😀😀😀😀 yani magu amewakamata makei yao sasa hawajui waanzie wapi sasa wamejikuta kutumia train zilizotumika 100yrs ago in china
airport ipo zero structure kama uwanja wa mpiraMkuu, kufananisha JNIA na hiyo JKIA Museum ni kama vile kufananisha uwanja wa Karasani
Na Dar es Salaam stadium, one is a museum and the another one is Modern...
See it yourself.
View attachment 741666View attachment 741667View attachment 741669
mbona zote ulizotaja si zenyu... nitajie ya kikenya kama ipo.mbona tupo Quora, Skyscrapercity, Nairaland, City data.com, Reddit, JamiiForums.com, na broadband south africa...hizo zote ni forum tunaingia ili kupata exposure..wanaija tunajua jinsi tunavo deal nao ilhali ni watu vichwa maji kama nyinyi hapa tu![]()
![]()


Namuona Jay456watt na kofia lake pembeni jobless anapita anatamani anunue mboga ni vile hana hela

sijakuambia kama wewe ni muongo ila kaa na ytafakari kwa kuisoma comment yangu upya kwani hiyo imemaliza kila kitu.....ukwli ndio huo wala sijadanganya...2020 uchumi unakuwa 100 billion GDP...jengo ndefu barani tuna lcunch...reli tunapanda kwenda kampala