Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizo zote ni one-star hotels, not even two-star. Nimegundua hujui lolote kuhusu star rating in the hotel industry. Hoteli zote kwa hiyo list uliyoleta yamepewa one star. Naona ngoma imekuwa nzito kwako. Ita wenzako wakusaidie
mmekuja kichwa kichwa mkajua ni dar ya 90s😀😀
The Best 5 Star Hotels in Dar es Salaam of 2018 (with Prices) - TripAdvisor


F98FBFEF-3D22-4F8D-BAE4-0888A7B37661.jpeg
 
Wewe ni zuzu kweli! Kwa hiyo list ya tripadvisor nini inaonyesha kwamba hizo hoteli ni five stars? kwenye hiyo list hakuna hata moja iliyopewa rating. Kweli siku ya nyani kufa kila mti huteleza!
unaanza sababu hahahaah 5 star zimekutoa jasho 😀😀😀😀😀😀😀 hii ndio dar ya 2018 yani nilimwambia mwenzio kitu kinaitwa hotel asijaribu kabisa akamuulize waziri wenu balala anaijua vzr dar
 
One of the reviews on one of these supposedly "five-star hotels" says 'cheap rooms. My friend, since when did five-star hotels start having cheap rooms? hiyo ni review ya Safari Inn hotel (I have never heard of this Five-star hotel before). Another review (on Mesuma hotel) says this: "cheap but noisy hotel with micro elevators, Thank you". Another review on Econo Lodge has this to say: Solid, functional but ultimately unspiring." Tangu lini five-star hotels zikawa hivi? Zingine zimeandikwa hadi terrible food!
 
One of the reviews on one of three "five-star hotels" says 'cheap rooms. My friend, since when did five-start hotels start having cheap rooms? hiyo ni review ya Safari Inn hotel (I have never heard of that Five-star hotel before). Another review (on Mesuma hotel) says this: "cheap but noisy hotel with micro elevators, Thank you". Another review on Econo Lodge has this to say: Solid, functional but ultimately unspiring." Tangu lini five-star hotels zikawa hivi? Zingine zimeandikwa hadi terrible food!
usiwe mtu wa huzuni kila siku narudia kukwambia kaka kwenye swala la hotels sio kwa dar tu nenda kokote tanzania huiwez kwenye mambo ya hotels waziri wenu alikuja znz kujifunza na kujionea modern hotels na akakiri kwa ulimi wake kua hotel za kenya zimechoka na zimeishiwa modernity coz ziko 40yrs ago sasa wewe nani unaebisha????😀😀😀😀😀

hii sio ile dar au tz ya 90s my friend 😛😛😛

na hapohapo utambue kuna hotel inajengwa zanzibar inaitwa amber resort zanzibar hio ndio once completed itakua the biggest and moder hotel in africa cost yake ni 2b usd my friend ni hatariii😀
 
leo anadhalilika hvi hvi MLDC😀😀😀😀😀
ameiga au amepoteza pesa za wananchi
D3E613F3-7B10-4441-B578-113E9B245C92.jpeg
 
Back
Top Bottom