Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

and as per UN 80% of Dar residents live in informals....mnaficha kidonda lakini ukweli umetoka kuwa 79% of Tanzanians are wallowing in poverty......nowonder mmejaa Kenya mkihepa nchi yenu....
a25b24cf-7e51-494b-9464-7f5d9990fc20-jpeg.725625
 
arusha kama kericho...tu.it's just highly publicized juu ya east African legislative assembly
 
Unafahamu KQ katika hizo ndege zinazofanya kazi za kukodi no ngapi na wanazomiliki ni ngapi?
Kukodi ni kuongeza uwezo was huduma na kibiashara hilo sio la ajabu. Tupatie takwimu hiyo kwanza ya wanazomiliki na kukodi. Kusema nyingi ni za kukodi haisaidii, maana mtu mwenye akili anaweza kukodi ndege na zikaingiza faida kuliko anayetumia za kumiliki
.
Takwimu za idadi ya ndege sizifahamu kwasababu mnadai wamiliki "hawajulikani" (anonymous). Lakini dondoo za mjini ni kuwa baadhi ya viongozi wenu "walafi", walitumia ushawishi wao kuilazimisha KQ kutumia ndege walizozikodi huku wakitoza rates za juu kwa kampuni ili wapate faida kubwa. Sasa kampuni iko hoi bin taaban kwenye ICU.

Ndiyo matatizo hayo ya kujifanya mabepari kuliko mabepari wenyewe.
 
Back
Top Bottom