Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

October 2017
Tanzania Zambia Railway (1860 KM) Long-distance passenger car train started from Dar es Salaam (Tazara station) to Zambia at 15:50 on

Source: Hitoshi Suzuki
 
KWANI TANZANIA KAZI ZIPO WAPI??? ANGALIA TAKWIMU YA WAKENYA WALIO NA KAZI HASA SECTOR BINAFSI HALAFU LINGANISHA NA TANZANIA! TUPO NYUMA MIAKA 20 KULINGANISHA NA KENYA KUANZIA UCHUMI, ELIMU NA MITAZAMO (MINDSET), Wakenya wapo wengi nje ya nchi wenye kazi za maana mara 15 au 20 ya watanzania, na wana-cope na mazingira wanayoishi kuliko sisi watanzania.....kwa ufupi wakenya ni watafutaji na wanafahamika dunia nzima. Obama hakupatikana kibahati, sisi tunajikongoja hata kutembea hatujaweza wakati wenzetu Wakenya na waafrika wengine wanatimua mbio. Rais wetu kila siku anazungumzia Flyovers mbili za Dar ES Salaam wakati wenzetu kwao zimejaa, mtandao wa barabara za kwao zikiwamo Expressway zipo kwa zaidi ya mara mbili kulinganisha na za kwetu, elimu yetu bado sana....wanamaliza vyuo lakini hata barua za kuomba kazi inakuwa changamoto kuziandika. Kenya airways imejaa madege ya kila aina, Uwanja wa Jomo Kenyatta wanashuka wasafiri millioni 6.3 wakati Julius Nyerere wanashuka chini ya millioni 2.4 kwa mwaka, Vyuo vikuu vyao ni bora karibu vyote vipo kwenye vyuo vikuu bora 100 kwa nchi za Afrika sisi vinaingia viwili tu...Bado tu hujajiona upo wapi ndugu?
Kenya hawajawahi kuzuia kufanya siasa tangu mfumo wa vyama vingi umeanza, sisi kwetu ni ukandamizaji kwenda mbele. Mkulu kazi anazozifanya ni kufungua viwanda vilivyofungiwa kabla, kufungua barabara zilizokamilika wakati wa Kikwete ambazo tayari zilishatumika kwa miaka.
Ushauri wangu, Aache misifa na kila siku kuropoka sijui flyovers, barabara, ndege, Railways, sijui wizara ya afya imeongezewa budget. Hizo zote ni wajibu wake, ni moja ya job description yake.....Tunachekwa kwani kwa majirani zetu hayo mambo ni vitu vya kawaida. Akazanie kuongeza budget, Kila mwaka budget haitoshi....Kenya budget yao kwa mwaka ni Dola 24 billion kwa mwaka, sisi yetu ni 13.3 billion. KWA HUYU RAIS HATUENDI MBELE ILA TUNARUDI NYUMA.
Jitumeni kama hao Wakenya punguzeni porojo hamna cha kupewa kaza msuli hao sekta binafsi wako vizuri sababu wananchi wenyewe waliamua kujituma sio kukaa kulialia hio budget ataiongeza vipi kama watu kila wakati kulialia tu nchi bado ina fursa za kutosha ni watu tu kubadili upeo wao wa fikra sa hivi hamna tena kitonga kuna kichwa
 
hawajawahi kujengewa daraja la kuvuka mto wenye mamba toka kenya ipate uhuru duhhh mto huo umeua watu kibao alaf bogus wanawaza 80b GdP
sijapata kuona maisha ya kimaskini kama haya
 
IMG_20170603_142437.jpg
IMG_20170603_142437.jpg
IMG_20171209_163033.jpg
13-50-30-Y4Asr4gh.jpg
07-00-16-h8D1ZFRh.jpg
11-18-04-UReezVl.jpg
09-44-55-17759757_10155267156422422_3812663505969013887_n.jpg
23-09-17-gznNdH0.jpg
 
magufuli anataka miradi yote mikubwa ifadhiliwe na serekali ya tanzania, yani uncle magu ananikosha sana sijui wapi anatoa pesa wakat jirani is broke😀😀 anategemea mikopo tena amefkia mpaka hatua ya kukopa loan kulipa loan😛😛😛😛

tukumbuke jamaa ashatoa 3.16b usd kwa phase mbili za modern electric train in africa 722km

kashatoa 2b usd kwa construction of dam 2100MW na ujenzi unaendelea

kanunua ndege 7 za air tanzania no loan

F0AECD46-6B6A-41D1-AF5E-6E67CE080EB9.jpeg



Tanzania to fund its own projects
 
Ngong Forest (edge of Nairobi), look at those fine residential houses. Ushawai skia Leafy suburbs?
ngong.jpg
 
Kama ingekua electric na kwenda kwa 160km/hr, ingekua safi not that snail motion of 110km/hr and dirty pollutive & expensive to run diesel engine
na haiwez fika 120km/hr ikifika hapo ujue ni vibration kwasababu reli yao ni joint bolted na sio continuous welded rail

mchina sio mtu mzuri aisee😀😀😀😀
4b usd 422 km hahah aisee sijapata kuona
 
endeleeni kuokota picha google alaf museme dar as usual😀😀😀😀😀 wenzako waliweka mpaka slum za siera lione na nigeria wakasema dar😛😛😛
But yiou never post, mimi huona tu cbd, no shots from a distance, kwani mna aibu??
 
Back
Top Bottom