Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa unajifanya unajua Kenya ku2shinda
uahhaha sio mm walaumu hawa😀😀😀
80684602-44A1-48E6-8F42-AC8FA71055F0.jpeg
 
jirani wetu wanakosa usingizi daily kwa vile wanajaribu kutufikia lakini tunazidi kuwafunika sawasawa lol....we are almost at 80 hao wanapumulia kwa fifty huko.....hahaha.Tanzanians please if you are lazy and comfortable the way most of you are hamtawahi toka kwenye list of shame of 50 poorest nations on earth......Kenyans are hustlers my friends.....we grind it out here .take it or leave it.
.
 
Hapo kwa hio list hamna LDC actually wanaotuongoza ni wale mnaowazungushia kibakuli chenyu cha omba omba.


sijui mbona watanzania wengi wamehepa kwao...lol.but rural Tanzania is a horror of poverty mtu anaweza hata toa machozi....even their fertile zones are horrible.
 
Mziki kidogo......maana wakenya kwa kutegemea vya watu....ndiyo zao hii tunaiita tagi ubavu

 
Kenya wameelimika,yaani mpaka rais anasikia ufahari kuongoza watu wanaojitambua,tofauti na kwingine eti MTU anajiita Kiongozi bora wakati anawaongoza ni wajinga na hawajitambu,akiamua kuchukua fedha za afya na kununua meli kubwa anashangiliwa ooohooo Africa una mdudu gani wewe?
 
Nauliza kati ya Tanzania na Kenya nchi gani imeendelea? Nauliza hivyo kwa sababu kila siku tunasifia ujenzi wa fly overs Tazara na Ubungo, ununuzi wa ndege na ujenzi wa standard gauge railway kuwa ndo maendeleo.

Sasa wenzetu Kenya SGR tayari wanayo, ndege wanazo kama ifuatavyo: Boeing 787 ndege 7, Boeing 737-800 ndege 8, Boeing 737-700 ndege 2 na Embraer 190 ndege 15. Wana flyovers kila kona ya Nairobi na Mombasa.

Je, kwa mtanzamo wa wanaCCM Kenya ni nchi iliyoendelea?
Just Praise Me anaona Kenya ndio kioo cha maendeleo.
Hataki Tujifunze kutoka kwenye nchi za Kiasia zenye maendeleo makubwa ya kiuchumi kama Malaysia, Indonesia, Philippines etc ambazo tulipata nazo Uhuru sawa
 
Kenya wameelimika,yaani mpaka rais anasikia ufahari kuongoza watu wanaojitambua,tofauti na kwingine eti MTU anajiita Kiongozi bora wakati anawaongoza ni wajinga na hawajitambu,akiamua kuchukua fedha za afya na kununua meli kubwa anashangiliwa ooohooo Africa una mdudu gani wewe?
Angalia level za ufisadi,umaskini na vijana kutokua na kazi kwa Kenya halafu uje kulinganisha na Tanzania hapo utachagua mwenyewe ujiweke kwenye kundi gani mwerevu au mjinga
 
Namshangaa huyu wetu kila Sikh kujisifu na hizo pangs boi mbili! Mbona Jirani yetu mwenye utitiri wa ma Boeing hata kuyataja hataji utadhani KQ hai exist!
Neno ushamba na ulimbukeni ndio linapopata credit hapo!
 
Angalia level za ufisadi,umaskini na vijana kutokua na kazi kwa Kenya halafu uje kulinganisha na Tanzania hapo utachagua mwenyewe ujiweke kwenye kundi gani mwerevu au mjinga
KWANI TANZANIA KAZI ZIPO WAPI??? ANGALIA TAKWIMU YA WAKENYA WALIO NA KAZI HASA SECTOR BINAFSI HALAFU LINGANISHA NA TANZANIA! TUPO NYUMA MIAKA 20 KULINGANISHA NA KENYA KUANZIA UCHUMI, ELIMU NA MITAZAMO (MINDSET), Wakenya wapo wengi nje ya nchi wenye kazi za maana mara 15 au 20 ya watanzania, na wana-cope na mazingira wanayoishi kuliko sisi watanzania.....kwa ufupi wakenya ni watafutaji na wanafahamika dunia nzima. Obama hakupatikana kibahati, sisi tunajikongoja hata kutembea hatujaweza wakati wenzetu Wakenya na waafrika wengine wanatimua mbio. Rais wetu kila siku anazungumzia Flyovers mbili za Dar ES Salaam wakati wenzetu kwao zimejaa, mtandao wa barabara za kwao zikiwamo Expressway zipo kwa zaidi ya mara mbili kulinganisha na za kwetu, elimu yetu bado sana....wanamaliza vyuo lakini hata barua za kuomba kazi inakuwa changamoto kuziandika. Kenya airways imejaa madege ya kila aina, Uwanja wa Jomo Kenyatta wanashuka wasafiri millioni 6.3 wakati Julius Nyerere wanashuka chini ya millioni 2.4 kwa mwaka, Vyuo vikuu vyao ni bora karibu vyote vipo kwenye vyuo vikuu bora 100 kwa nchi za Afrika sisi vinaingia viwili tu...Bado tu hujajiona upo wapi ndugu?
Kenya hawajawahi kuzuia kufanya siasa tangu mfumo wa vyama vingi umeanza, sisi kwetu ni ukandamizaji kwenda mbele. Mkulu kazi anazozifanya ni kufungua viwanda vilivyofungiwa kabla, kufungua barabara zilizokamilika wakati wa Kikwete ambazo tayari zilishatumika kwa miaka.
Ushauri wangu, Aache misifa na kila siku kuropoka sijui flyovers, barabara, ndege, Railways, sijui wizara ya afya imeongezewa budget. Hizo zote ni wajibu wake, ni moja ya job description yake.....Tunachekwa kwani kwa majirani zetu hayo mambo ni vitu vya kawaida. Akazanie kuongeza budget, Kila mwaka budget haitoshi....Kenya budget yao kwa mwaka ni Dola 24 billion kwa mwaka, sisi yetu ni 13.3 billion. KWA HUYU RAIS HATUENDI MBELE ILA TUNARUDI NYUMA.
 
August 2017
Rovos Rail Luxury train from South Africa to Dar Es Salaam, Tanzania
This Rovos Rail Luxury train from South Africa to Dar Es Salaam.This train is super awesome and luxurious. The train passed Mbeya station past Mukuba express train from Kapiri Mposhi, Zambia to Dar Es Salaam Tanzania.

Source: Kenyan Backpacker
 
Kinachowafanya kenya kuendelea kuliko sisi ni kua na rais mwenye hekima na busara na katiba nzuri.

Kenya hakuna wajinga kama huko kwenu hiyo ndio sababu kubwa
Nauliza kati ya Tanzania na Kenya nchi gani imeendelea? Nauliza hivyo kwa sababu kila siku tunasifia ujenzi wa fly overs Tazara na Ubungo, ununuzi wa ndege na ujenzi wa standard gauge railway kuwa ndo maendeleo.

Sasa wenzetu Kenya SGR tayari wanayo, ndege wanazo kama ifuatavyo: Boeing 787 ndege 7, Boeing 737-800 ndege 8, Boeing 737-700 ndege 2 na Embraer 190 ndege 15. Wana flyovers kila kona ya Nairobi na Mombasa.

Je, kwa mtanzamo wa wanaCCM Kenya ni nchi iliyoendelea?
 
Back
Top Bottom