Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

atleast tuna reli...where is urs?😀😀😀😀bado mpo msituni mnapambana na vumbi kujenga white elephant😀😀😀mizigo ya Rwanda hata ya Nairobi tu inaizidi😀😀😀😀
Huo ndiyo wendawazimu wa kiwango cha Kibera, hivi unajua kwanini nchi zinaamua kujenga reli?, lengo kubwa ni kupunguza gharama za usafirishaji ili kuchochea ukuaji wa uchumi, hiyo sio kwa ajili ya maonyesho, kwamba eti muonekane mumejenga reli, hakuna mfanyabiashara atakayeitumia, itabaki kuwa tembo mweupo na mkopo wa wachina unawakodolea macho.
 
Sijui nani alimroga mkenya😀😀😀
EA3EEB36-8E3C-4384-A40E-431AE5850E73.jpeg
13E8029C-712D-4B2A-A562-60875FB6B98F.jpeg
 
hahaha those are just the highways.......feeder roads ziko kila pembe siku hizi unlike Tanzania where most roads ni mchanga tu
hizo feeder roads ambazo ni mchanga zinazounganisha mikoa ni zipi km unazijua au imagination inayokufurahisha ndio unayoiamini
 
Back
Top Bottom