Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Utakuwa huwatendei haki wewe
Soma hii vizuri
unategemea wapost picha zipi za wakenya wakawaida!!
9cfa6d22d08ceaf157e03ae78c303431.jpg


Hawa unao waona humu 90% Hawaishi Nairobi
nawanao ishi Nairobi 100% Wanaishi kwenye hiyo 60% ya wakazi wa nairobi hapo juu
Sasa nyinyi ni 70% slum
 
Tajiri gani anakufa kwa njaa!? Kwikwikwikwi. Nenda uje tena. Wewe unabahati kuingia hata kwenye mitandao. But in reality Kenyans umasikini siyo wa sayari hii. There is no poor person in the world as person in kibera Nairobi kenya.
Do u know dar has more slum dwellers than Nairobi
 
Unapima umbali kutokea wapi? Be specific acha kuanzisha ligi za kitoto.

View attachment 489617
Hii yako ndo defination ya ujinga!
Specific my foot. Soma tena kama sijaspecify naongelea toka wapi hadi wapi sio unakurupuka... please engage akili hata kwa Mbali. ...
Ni vizuri umeweka hadi map which clearly shows you went round in "circles" looking for milage but still ukaishia 12km against a target 50km.. sasa nani analeta ligi za kitoto?!
Next time nenda hadi tegeta alafu urudi upitie buguruni pita chang'ombe... magomeni.... Morocco hadi posta alafu utuambie millenium tower ni 70km from cbd! Naona ndo akili yako ilivyo
 
Hii yako ndo defination ya ujinga!
Ni vizuri umeweka hadi map which clearly shows you went round in "circles" looking for milage but still ukaishia 12km against a target 50km.. sasa nani analeta ligi za kitoto?!
Next time nenda hadi tegeta alafu urudi upitie buguruni pita chang'ombe... magomeni.... Morocco hadi posta alafu utuambie millenium tower ni 70km from cbd! Naona ndo akili yako ilivyo
Nimekuuliza distance umepima kutokea wapi? Je unajua start point ya city center? Hebu acha uboya wewe.
 
Colloh -mzii yaonekana ndio fala mpya jamii kutoka Kenya unaboa kinoma we jamaa
 
Colloh -mzii yaonekana ndio fala mpya jamii kutoka Kenya unaboa kinoma we jamaa
Mpotezee ni mshamba fulani toka kibera kajua kutumia mtandao juzi kati. Wala usimpe kiki. Akisema chochote potezea yule ni empty headed.
 
Sihitaji ku-highlight! Nenda original post usome tena hadi uelewe
Sasa mbona unatoka povu jingi? Sikuelewi. Wewe unapima city center tokea wapi!? Mbona unakomalia issue za kitoto!? I thought your bright lakini nashindwa kuelewa unakomalia kitu kidogo kiasi hiki kwamba distance from city center to millennium tower. Nikasema wewe unapima tokea wapi!? Sasa unaanza kutoa povu kama mtu asiye msomi!!
 
Back
Top Bottom