Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unacho kisimamia nikuwa Wakazi wa dar wanaishi vizuri kuliko Nairobi?
Nilikuambia soma hapa vizuri
33c100df59d688b88387865f95cb601c.jpg

Kama ulienda shule
chukua 3.5ml Kisha itafute 60% ya 3.5ml
jibu unalo
 
Hapana huyu MOTOCHINI Nikama anakashfu maisha ya nduguzetu
yeye anaishi nyumba gani!!?
aiweke hapa
Tunajua kuwa kibera kubaya
lakini nihaki kusema nisehemu wanaweza ishi Nguruwe!!?
Narudia mimi sipendi unafiki
kule kunastahili kuishi Nguruwe si kwa wakenya na mijisifa yao!!
Hebu waambie walete picha za makazi ya wana Dar
kama wataleta Mabanda kama yale
 
Utajiri wa Nchi mnufaike wote
Kuwa na Matajiri Wengi nawakenya wakiishi maisha ya Kuzimu ni laana na Si chakujivunia
 
Narudia mimi sipendi unafiki
kule kunastahili kuishi Nguruwe si kwa wakenya na mijisifa yao!!
Hebu waambie walete picha za makazi ya wana Dar
kama wataleta Mabanda kama yale
Leo Unalo wewe
Ntakutoa Ufahamu

Tuletee za dar sasa
 
Leo Unalo wewe
Ntakutoa Ufahamu

Tuletee za dar sasa
Wewe ni walewale
Hujafika Dar
unaisikia na kuitazama kwenye Picha
Upo Tanzania kama upo Ughaibuni
ajabu hata walio ughaibuni walipitia Dar
na walipita Vingunguti waliona Makazi ya Watanzania wa ukweli ukweli hakuna Vibanda vya Nguruwe kama vya Nairobi
 
Wewe ni walewale
Hujafika Dar
unaisikia na kuitazama kwenye Picha
Upo Tanzania kama upo Ughaibuni
ajabu hata walio ughaibuni walipitia Dar
na walipita Vingunguti waliona Makazi ya Watanzania wa ukweli ukweli hakuna Vibanda vya Nguruwe kama vya Nairobi
Nilikuita naomba urudi ulikokuwa kwaheri
 
Siyo kashfa
Jifunze kusema ukweli
hao unao waona humu ni watafuta sifa
kitu kimoja ukifahamu
mkenya hupenda sifa sana
yupo radhi Kukuambia kashiba akiwa na njaa kali
Wana maisha yakuiga sana,
utawakuta Nairobi wamepigilia Suti mfukoni hana kitu
nyumbani kibera!!


Sasa wapost humu nyumbazao za kawaida za Nairobi
Kitu kimoja ambacho dada Zuwenna hakifahamu kuhusu wakazi wengi wa jiji la Nairobi.

kutokana na uhaba wa ardhi ya makazi,asilimia kubwa (sina takwimu sahihi) ni wapangaji wa Nyumba zinazomilikiwa na kikundi kidogo (kwa kingereza huitwa elite class) cha wakenya toka kabira la wakikiyu,wanasiasa na wafanyabiashara.

wengi ya wakazi wa Nairobi wenye kipato haba ambacho hakiwawezeshi kulipa pango ktk maeneo mazuri,wamepanga maeneo duni ya:
Baba Ndogo
Dandora
Fuata
Gatwekera
Huruma
Kambi Muru
Kangemi
Kawangware
Kiambiu
Kianda
Kibera (Kibera has been described as the largest slum in Kenya)
Kichinjio
Kisumu Ndogo
Korogocho
Laini Saba
Lindi
Majengo, Nairobi
Makina
Makongeni
Mashimoni
Matopeni
Mathare
Mathare Valley
Mugumoini
Mukuru kwa Njenga
Mukuru slums
Nyalenda
Pumwani
Raila
Sarang'ombe
Shilanga
Siranga
Soweto East
Soweto West
Ziwa la Ng'ombe.

kwa wakazi wa dar es salaam,hali ni tofauti,kutokana na upatikaji wa ardhi kuwa si jambo kubwa, baadhi wamefanikiwa kumiliki ardhi na Nyumba zao binafsi ndani ya jiji au pembezoni mwa jiji.
 
Kitu kimoja ambacho dada Zuwenna hakifahamu kuhusu wakazi wengi wa jiji la Nairobi.

kutokana na uhaba wa ardhi ya makazi,asilimia kubwa (sina takwimu sahihi) ni wapangaji wa Nyumba zinazomilikiwa na kikundi kidogo (kwa kingereza huitwa elite class) cha wakenya toka kabira la wakikiyu,wanasiasa na wafanyabiashara.

wengi ya wakazi wa Nairobi wenye kipato haba ambacho hakiwawezeshi kulipa pango ktk maeneo mazuri,wamepanga maeneo duni ya:
Baba Ndogo
Dandora
Fuata
Gatwekera
Huruma
Kambi Muru
Kangemi
Kawangware
Kiambiu
Kianda
Kibera (Kibera has been described as the largest slum in Kenya)
Kichinjio
Kisumu Ndogo
Korogocho
Laini Saba
Lindi
Majengo, Nairobi
Makina
Makongeni
Mashimoni
Matopeni
Mathare
Mathare Valley
Mugumoini
Mukuru kwa Njenga
Mukuru slums
Nyalenda
Pumwani
Raila
Sarang'ombe
Shilanga
Siranga
Soweto East
Soweto West
Ziwa la Ng'ombe.

kwa wakazi wa dar es salaam,hali ni tofauti,kutokana na upatikaji wa ardhi kuwa si jambo kubwa, baadhi wamefanikiwa kumiliki ardhi na Nyumba zao binafsi ndani ya jiji au pembezoni mwa jiji.
Aje akusome Zuwenna
 
Kitu kimoja ambacho dada Zuwenna hakifahamu kuhusu wakazi wengi wa jiji la Nairobi.

kutokana na uhaba wa ardhi ya makazi,asilimia kubwa (sina takwimu sahihi) ni wapangaji wa Nyumba zinazomilikiwa na kikundi kidogo (kwa kingereza huitwa elite class) cha wakenya toka kabira la wakikiyu,wanasiasa na wafanyabiashara.

wengi ya wakazi wa Nairobi wenye kipato haba ambacho hakiwawezeshi kulipa pango ktk maeneo mazuri,wamepanga maeneo duni ya:
Baba Ndogo
Dandora
Fuata
Gatwekera
Huruma
Kambi Muru
Kangemi
Kawangware
Kiambiu
Kianda
Kibera (Kibera has been described as the largest slum in Kenya)
Kichinjio
Kisumu Ndogo
Korogocho
Laini Saba
Lindi
Majengo, Nairobi
Makina
Makongeni
Mashimoni
Matopeni
Mathare
Mathare Valley
Mugumoini
Mukuru kwa Njenga
Mukuru slums
Nyalenda
Pumwani
Raila
Sarang'ombe
Shilanga
Siranga
Soweto East
Soweto West
Ziwa la Ng'ombe.

kwa wakazi wa dar es salaam,hali ni tofauti,kutokana na upatikaji wa ardhi kuwa si jambo kubwa, baadhi wamefanikiwa kumiliki ardhi na Nyumba zao binafsi ndani ya jiji au pembezoni mwa jiji.
Nimependa unavyo toa maelezo kama mkazi na Raia wa kenya
haya ndio twayataka mtujuze sio kashfa
 
GDP na Human Capital hapo sasa?. Tusiporekebisha?. Ila kama gap poor and rich haitarekebishwa basi GDP na HCD haitakuwa na maana.
 
GDP na Human Capital hapo sasa?. Tusiporekebisha?. Ila kama gap poor and rich haitarekebishwa basi GDP na HCD haitakuwa na maana.
Unajua Hakuna faida ya kuwa na matajiri wengi huku wengine wakiishi maisha ya ki mbwa nguruwe
 
Back
Top Bottom