Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I gladly accept the new Name I will also have to baptise you with a new one Kadada which basically means a small girl. We are even now aren't we?
Hahaha alianza kuita watu majina yake nkawa namchek tu...leo yeye anaanza catch feelings ....feelings peleka labor
kilaza inaonekana jina la mwasiti limefanya u-catch mafeelings...
 
Inawauma sana kuskia kwamba Diamond anaweza potelea Kenya. Wacha kwanza ajenge nyumba atakuwa ana spend 3/4 ya muda wake hapa Kenya. He will be running his Tanzanian businesses from the big city Nairobi aki rub shoulders na other kenyan tycoons akitaka kwenda marekani ni dakika chache tu ako airport straight to New York. haiya !
Yaani kuna hizi jamaa za failed state zinaforce diamond kuwa mkenya,,kwani si nasikia ruto nae alitoa wimbo unaitwa nyege ni kunyegeshana,,why can't you support your artist ruto to become super artist like diamond???
 
Yaani kuna hizi jamaa za failed state zinaforce diamond kuwa mkenya,,kwani si nasikia ruto nae alitoa wimbo unaitwa nyege ni kunyegeshana,,why can't you support your artist ruto to become super artist like diamond???
Artist wakikenya hawana talent hua wanaimba upuuzi tu😀😀😀😀😀
 
Mara ya kwanza kula biryan ilikua mwaka 2011 alinipeleka bro pale Ilala boma kwa waarabu ,dude lilikua poa sana na kitu cha supu ya mbuzi ....Moshi sikuwah liona kabla
Kabla ule biryani ulikuwa umetoka Kule wanakula panya na mbwa? Ni swali tu Susana usikule mori.
 
Inawauma sana kuskia kwamba Diamond anaweza potelea Kenya. Wacha kwanza ajenge nyumba atakuwa ana spend 3/4 ya muda wake hapa Kenya. He will be running his Tanzanian businesses from the big city Nairobi aki rub shoulders na other kenyan tycoons akitaka kwenda marekani ni dakika chache tu ako airport straight to New York. haiya !
Nyangau jobless katika ubora wako
 
Back
Top Bottom