kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
ni cha kawaida ndio but wengi wenyu mumezoea kula githeri.Hiki chakula cha kawaida sana ndugu.

ni cha kawaida ndio but wengi wenyu mumezoea kula githeri.Hiki chakula cha kawaida sana ndugu.

Picha za SGR usiku na Mchana, Bagamoyo na vinyerezi bado nangoja hata ingaea site tunajua hizo projects ni hewa tupu.
Hehe unatudanganya sisi au unataka tukuaibishe 😀😀😀😀😀😀Shs 600 - 700 per bag equivalent to 12000 Tzshs.
Na ninyi kazi yetu ni kuolewa na wazungu, ndiyo sababu wanawake wenu wanalalamika hamuwapi mimba, akili za wanaume wa Kenya ni kupata bwana wa kizungu tu.Nyinyi kazi yenu ni kuwa vilaza hamuwezi soma zaidi ya lugha moja hata sidhani kuna polyglot huko kwenu.
Heheh magufuli kweli anawaumiza kichwa anafanya wonders😀😀😀😀😀Siku ya ku launch hiyo electric SGR Magufooli atatangaza hakuna cha stima wakati treni zinafanya kazi. Jichocheni tu na hizo Megawatts kidogo mnazalisha.
hicho kiswahili kibovu cha stima mlikitolea wapi majirani usimuone kobe kainama ujue anatunga sheria hizo megawatt tunazozalisha tutaanza kuuza mpaka nje we komaa kwa ziko kidogo mutajibeba wakat wa uzinduzi
ni cha kawaida ndio but wengi wenyu mumezoea kula githeri.![]()
![]()
![]()
Buda, only about 10 % of Kenyans are landless. Hii majority labda ni Kingereza huelewi. Majority of Kenyans >90 % own land.
Na ninyi kazi yetu ni kuolewa na wazungu, ndiyo sababu wanawake wenu wanalalamika hamuwapi mimba, akili za wanaume wa Kenya ni kupata bwana wa kizungu tu.
Heheh magufuli kweli anawaumiza kichwa anafanya wonders😀😀😀😀😀
Mbona sasa unataka kuwakasirisha wenzako kwa kukataa kwamba hampendi kuolewa na wazungu?, hili ni jukwaa zuri la kujitafutia wanaume, hata sisi tunaweza kuwaoa na kuwahakikishia upatikanaji wa chakulaDuh, lakini si nyie watu wa DSM mnapenda sana hizi stori za ugofa. Ni vile DSM kumejaa mashoga ama nini?
Akili za manyangau ndohizi kufikili diamond anaweza ishi KenyaHatuna hasira na kijana wa Tandale. Hata mamaye pia hatuna shida naye. Very soon atajoin wasanii wenzenu ambao hupotelea Nairobi
Diamond's mother was pretty much excited. She literally carried the title deed everywhere she went, but we understand. Land in Kenya is a sign of wealth, and The Boy from Tandale did not miss that train.
Mbona sasa unataka kuwakasirisha wenzako kwa kukataa kwamba hampendi kuolewa na wazungu?, hili ni jukwaa zuri la kujitafutia wanaume, hata sisi tunaweza kuwaoa na kuwahakikishia upatikanaji wa chakula
Muda ulionao ni wakujifunza kiingereza ili upate bwana wa kizungu sio?, hongera sana.Sina muda was kiswahili sanifu boss. Hiyo ni kazi ya Watanzania na wa kosti wa kenya. Zalisheni umeme mjitosheleze kwanza mtauza baadae.
Kuwaoa wale wanaume wa Kenya ambao watakuwa wamekosa kuolewa na wazunguKuoa kina nani?
Akili za manyangau ndohizi kufikili diamond anaweza ishi Kenya
Muda ulionao ni wakujifunza kiingereza ili upate bwana wa kizungu sio?, hongera sana.
Kuwaoa wale wanaume wa Kenya ambao watakuwa wamekosa kuolewa na wazungu
mungu kaibariki tanzania kwa kuwa na ardhi yenye rutuba inayozalisha kila aina ya chakula.Nina uhakika watu wa Tanzania ndani ndani huko bara wanakula tu vyakula vya kiAfrika sio kama nyinyi wa DSM. Biryani ni chakula kigeni acha kutuchocha na vitu acquired.