High Def
Senior Member
- Feb 16, 2018
- 150
- 84
Kwahiyo ninyi mnajifunza kizungu ili muweze kuolewa na wazungu sio?, ngoja na sisi tujifunze ili tuweze kuwaoa japo tuwape chakula kama wake zetu
Nyinyi kazi yenu ni kuwa vilaza hamuwezi soma zaidi ya lugha moja hata sidhani kuna polyglot huko kwenu.