Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bagamoyo port ujenI umeanza mwaka jana na sababu ya kuarishwa ilikua mpaka dar port and mtwara port expansio zianze na Zote Zishaanza na tegeme 2020 utaona maajabu hujawah kuyaona
Weka Picha punguza mdomo buda.
 
jamaa bakharesa mjanja sana......hiyo kitu lazima afanye ili aweze peleka watalii pale zenji kwenye mji wake fumba na ile hotel yakibabe ya 5 atar ......mshikaji ni balaa....mashariki na kati yeye ni top....hayo matunda yake kwa baadaye lazima apindue ile list ya matajiri kwa hapa africa
 
40532529551_f8f6e06d57_b.jpg
40489785242_31b99fb1a5_b.jpg
40489784252_1f4e14bc08_b.jpg
40489804392_502f3f3ec7_b.jpg
28155955_1221084141358983_8623087929889128448_n.jpg
40802213342_32704fc6fc_o.jpg
leo kidogo nikupongeze angalau umeleta kapiche kenye muonekano asili kwa hiyo picha ya kwanza....

ila kingine hako kajengo kamwishoni ni kajengo kashotii sana...kamedumaa
 
Picha za SGR usiku na Mchana, Bagamoyo na vinyerezi bado nangoja hata ingaea site tunajua hizo projects ni hewa tupu.
 
Picha za SGR usiku na Mchana, Bagamoyo na vinyerezi bado nangoja hata ingaea site tunajua hizo projects ni hewa tupu.
Wewe subiti kujifungua,na hatukupi picha ili ubaki ktk denial,siku ikimalizika nakulipia go and return uje utoe ushamba.
 
Wewe subiti kujifungua,na hatukupi picha ili ubaki ktk denial,siku ikimalizika nakulipia go and return uje utoe ushamba.
Ungesema kuwa sasa hamna ujenzi unaendelea ila mnakadiria kuanzisha ujenzi Zuma na World Bank watakapo toa mikopo kuwa ujenzi huu ila kuwa sasa mko katika harakati ya kuwafurashisha Wabongolalas.
 
Hii habari ni ya 2016 nyakati za nyimbo na mihemko kuwa SGR Tz na Pipeline zitakuwa zimekamilika by 2018...well, hebu tupe updates kadada.
kilaza it's true the article was published in 2016 but you can't ignore its content.

things that nameless said in 2016 are valid till today.our music is far ahead than yours.

we control this shit like for real.

show me any latest album from a kenyan that holds number one position on i tune in a foreign country.
viva tanzania
IMG_20180318_134503.jpg
IMG_20180318_134743.jpg
IMG_20180318_134800.jpg


kilaza ukishindwa kukamilisha hii assignment ndogo "nimekupea" kuanzia leo nitabadili ID yako from mwaswast to "mwasiti".
sitaki emotions just complete my assignment.

NB:
mwasiti is swahili female name that's given to a beautiful baby girl.

refer a bongofleva female artist mwasiti. check her videos on youtube.
 
kilaza it's true the article was published in 2016 but you can't ignore its content.

things that nameless said in 2016 are valid till today.our music is far ahead than yours.

we control this shit like for real.

show me any latest album from a kenyan that holds number one position on i tune in a foreign country.
viva tanzania View attachment 718384View attachment 718385View attachment 718386

kilaza ukishindwa kukamilisha hii assignment ndogo "nimekupea" kuanzia leo nitabadili ID yako from mwaswast to "mwasiti".
sitaki emotions just complete my assignment.

NB:
mwasiti is swahili female name that's given to a beautiful baby girl.

refer a bongofleva female artist mwasiti. check her videos on youtube.
Huo muda wote ulikuwa unatafuta this BS?
 
Ungesema kuwa sasa hamna ujenzi unaendelea ila mnakadiria kuanzisha ujenzi Zuma na World Bank watakapo toa mikopo kuwa ujenzi huu ila kuwa sasa mko katika harakati ya kuwafurashisha Wabongolalas.
Hatuna nini??picha ya sgr au no yako ya nyumba???
 
Tz limeshindwa kuikomboa bombardier $300m sembuse SGR ya $7b? Naskia bei ya Saruji imepanda Tz from pesa za madafu 15000 to 19000 kiss na maana ukosefu wa umeme...Hii inatokea kuwa Nchi ambayo inanuia kujenga bullet train ikiwa na umeme 1350MW. Hii Nchi ni vibonzo sana.
Sawa inaweza kuwa Tsh 15000
Saruji
vipi Kenya Sh ngapi?
 
Back
Top Bottom