Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alaf sio mkenya ni settler kutoka britain au unabisha hahahah ameinvest tanzania nashkuru sana kwa kuleta pesa tanzania

Huku sheria ardhi tofaut amekododishiwa na serekali tu
Alaf sio mkenya ni settler kutoka britain au unabisha hahahah ameinvest tanzania nashkuru sana kwa kuleta pesa tanzania

Huku sheria ardhi tofaut amekododishiwa na serekali tu


Haka kamtu kweli ni kajinga,we hujasoma yale majina?anaitwa langati ,huyo ni kalenjini.
 
binti kilaza jikumbushe hii kidogo
IMG_20180318_112951.jpg
 
Hizo billion 3 si ni zile mnachangisha kwa street zetu.


We ukikimbia hapo kwa mfuga mbwa kwenda marekani ,ni nini huenda Ku invest huko ? kama si kuombaomba?
the same way mnakuja Kenya ,and the interesting part of it ni kwamba mnatumwa na ********.
Ulisikia wapi watanzania wanaenda US?, ninyi mnaopenda kuolewa na wazungu ndio mnaokwenda huko, sisi tunabaki ndani ya nchi yenye maziwa na asali.
 
Nitaifungua ukileta Picha za ujenzi wa SGR usiku na mchana mwaka wa 2018 mwezi March tarehe 18. Go in peace bro...Hahahaha.
Kwan kenya mulijenga kwa miaka mingap??
Mulijenga miaka mitatu na nusu na tanzania haijamaliza hata mwaka munaanza kulia haha
😀😀😀😀😀
 
Kwan kenya mulijenga kwa miaka mingap??
Mulijenga miaka mitatu na nusu na tanzania haijamaliza hata mwaka munaanza kulia haha
😀😀😀😀😀
Haya basi tupe Progress ya Bagamoyo tangu 2011.
 
Haya basi tupe Progress ya Bagamoyo tangu 2011.
Bagamoyo port ujenI umeanza mwaka jana na sababu ya kuarishwa ilikua mpaka dar port and mtwara port expansio zianze na Zote Zishaanza na tegeme 2020 utaona maajabu hujawah kuyaona
 
Back
Top Bottom