Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
Yaani nilikuwa nafikiria hivyo hivyo, Mungu awarehemu kwa kweli maana umasikini halafu majanga kama haya siyo sawa kabisa.DUhh kwa hali hii sijui kule kibera
View attachment 716035
Yaani nilikuwa nafikiria hivyo hivyo, Mungu awarehemu kwa kweli maana umasikini halafu majanga kama haya siyo sawa kabisa.DUhh kwa hali hii sijui kule kibera
View attachment 716035
Huwaga wanasemaga wana ardhi ushago na wamejenga uko. Nairobi wanatafuta pesa tu. Mpaka yule Colloh mwizii akaweka picha ya ng'ombe mmoja akiwa kwenye kichakawalime wapi kwan hio ardhi wanayo ardhi wameshika wazungu wanapanda maua kupeleka kwao😀😀😀😀😀😀😀😀

Changing Goal posts.. Mvua ndiyo hii, Mlime sasa siyo baadae mlalamike njaa na kuanza kusumbua majirani zenu, then mkipewa chakula na kushiba mna anza "we are aggresive," "we have larger GDP" shenzy type

Huyo researcher atakua ana kichaa kuiacha Kenya, Mamia ya watu wamekufa kipindi cha uchaguzi, watu wanazidi kufa, Teargases kila siku, Police vs Citizens, Njaa, Floods, broke government na mengine kibao
Ukiachana na nchi yenye shida nyingi East Africa kuna nchi kama Syria, South Sudan, Congo, Afghanistan siera lione ambazo shida zake zinafanana na Kenya pia hazijatajwa.. I think hii report imeandaliwa Kenya
Vp.. umesha andaa shambaFloods are natural calamities.....give us a break.
Huwaga wanasemaga wana ardhi ushago na wamejenga uko. Nairobi wanatafuta pesa tu. Mpaka yule Colloh mwizii akaweka picha ya ng'ombe mmoja akiwa kwenye kichaka![]()
watu wa kibera hawana wa kuwasemea.Yaani nilikuwa nafikiria hivyo hivyo, Mungu awarehemu kwa kweli maana umasikini halafu majanga kama haya siyo sawa kabisa.
Huwaga wanasemaga wana ardhi ushago na wamejenga uko. Nairobi wanatafuta pesa tu. Mpaka yule Colloh mwizii akaweka picha ya ng'ombe mmoja akiwa kwenye kichaka![]()

U have international slumswe don't have the Swahili slums in Nairobi.......
watu wa kibera hawana wa kuwasemea.
wanapambana na hali yao wakiwa wapweke. napata huruma sana.mungu walinde watu wa kibera.
Wapi ushahidi????don't forget the 3 Tanzanians killed by floods today.........hii kibera mumeshindia sana kwa sababu ya uchungu ya Kenya kutokuwa LDC....mnasherehekea majanga na vifo pia.Lakini Mungu ataendelea kuifanisisha Kenya.....good night
ofcos but what it worries us is flood condition around kibera and the poor people who living there. i feel so sorry for them.Floods are natural calamities.....give us a break.






don't forget the 3 Tanzanians killed by floods today.........hii kibera mumeshindia sana kwa sababu ya uchungu ya Kenya kutokuwa LDC....mnasherehekea majanga na vifo pia.Lakini Mungu ataendelea kuifanisisha Kenya.....good night
But usisahau leo vyoo vya kibera wanafuraha sana wameachia kila kitu mubasharaofcos but what it worries us is flood condition around kibera and the poor people who living there. i feel so sorry for them.![]()
hahaha....
Wakati Finland ikitajwa kushika namba 1 kwenye orodha ya nchi zenye furaha zaidi duniani, Tanzania ipo kwenye nchi 10 zisizo na furaha na imetajwa namba 153 ikiwa ni namba ileile ya mwaka 2017 kwenye Ripoti hiyo iliyotolewa na UN.
Finland imeipita Norway mwaka huu na kuwa nchi yenye furaha zaidi duniani, kulingana na Ripoti ya Umoja wa Mataifa(UN).
Ripoti hiyo pia inaonesha kudondoka kwa Marekani katika viwango vya furaha hadi nafasi ya 18 ambayo ni nafasi 5 chini ya ile ya 2016 likiwa ndo taifa kubwa kiuchumi likikabiliwa na kiribatumbo(obesity), matumizi ya mihadarati na sonona.
Nafasi nne za juu zimeshikiliwa na nchi za Nordic; Finland ikifuatiwa na Norway, halafu Denmark na Iceland katika nafasi ya nne.
Burundi imeshika nafasi ya mwisho kabisa (156) ikichangiwa na ugomvi wa kikabila, majaribio ya mapinduzi na vita vya wenyewe kwa wenyewe. Cha kushangaza, Rwanda, Yemen, Tanzania,
Sudan Kusini na Jamhuri ya Afrika ya Kati zimeonesha viwango vya chini vya furaha kuliko hata Syria.
Kwa mara ya kwanza, UN imepima pia viwango vya furaha vya wahamiaji katika kila nchi na Finland imeibuka kinara.
Nchi zilizofanya vizuri zimepata alama za juu katika kipato, hali ya kiafya, msaada/uungwaji mkono wa kijamii, uhuru, uaminifu na ukarimu.
========
Top 10 happiest countries, 2018
(2017 ranking in brackets)
1. Finland (5)
2. Norway (1)
3. Denmark (2)
4. Iceland (3)
5. Switzerland (4)
6. Netherlands (6)
7. Canada (7)
8. New Zealand (8)
9. Sweden (10)
10. Australia (9)
The 10 unhappiest countries, 2018
(2017 ranking in brackets)
147. Malawi (136)
148. Haiti (145)
149. Liberia (148)
150. Syria (152)
151. Rwanda (151)
152. Yemen (146)
153. Tanzania (153)
154. South Sudan (147)
155. Central African Republic (155)
156. Burundi (154)
Vp mbona unatuaga mapema!! au keja imevuja inabidi ukinge ma ndoo pembeni kwa beddon't forget the 3 Tanzanians killed by floods today.........hii kibera mumeshindia sana kwa sababu ya uchungu ya Kenya kutokuwa LDC....mnasherehekea majanga na vifo pia.Lakini Mungu ataendelea kuifanisisha Kenya.....good night
. Ila poleni sana wajameni, jay, mwasiti, pingili nywee n.k bila shaka mnapambana na hali zenuumeandika kwa majonzi sana... basi samahani bro sitorudia tena.don't forget the 3 Tanzanians killed by floods today.........hii kibera mumeshindia sana kwa sababu ya uchungu ya Kenya kutokuwa LDC....mnasherehekea majanga na vifo pia.Lakini Mungu ataendelea kuifanisisha Kenya.....good night