Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Diamond kumleta RickRoss Kenya, We're Running East Africa Tunatafuna Pesa za Kenya then we RUN
IMG_20180315_165829.jpg
 
You're out of your mind Kenya ndio mnawaita wasanii wetu huko ili mtengeneze Pesa, no body gives a shit about Kenya, Msanii kama Diamond Vanessa Ali Kiba na wengine wengi wamekua International Artists without even geting intouch with Kenya, Walipojulikana ndio mkaanza kuwaita ili waje mtengeneze Pesa, Msanii Wa Tanzania soko lake kubwa anawaza Nigeria, na Western countries.. Ndio maana hutakuta Msanii Wa Kenya ameshirikishwa kwenye nyimbo ya Msanii Wa Tz its only 1%..
Hahaha.....wasaniii we2 hawanashughuli na nyie..... Na bytha......in Kenya we love clubmusic . Sio kama zenu yah mapenzi ya kijinga
 
Msanii Wa Tz akashoot video Kenyaaa??? Pwahahaha.. Tunawabeba sana, East Africa is well know because of Tanzania, Starting from our lovely language Swahili, Kilimanjaro and many others.. Diamond anakuja Kenya kama anavyoenda Marekani, Uingereza na kwingineko Duniani.. Hii Album itazinduliwa Duniani Kote.. You've contributed nothing to our music, Only Nigeria Did..
Unaitajataja Nigeria na wamujui diamond...
 
Huna akili wewe Diamond alianza kujulikana Internationally na Wimbo wake Remix aliomshirikisha Davido- my number one hana nyimbo inayoitwa wingolo, na kuhusu Vanessa mdee alisomea Catholic university of east Africa na ni kawaida kwa universities maana hata viongozi wakubwa Wa Africa wamesomea UDSM Tanzania, Huyo Alikiba kushinda huko sio kesi maana Prezzo, Huddah na wengine kibao wamenunua na nyumba kabisa Tz na weekend zote wapo huku.. Wasanii wote hao Alikiba Diamond na wengine wote wanafanya shoo nyingi tu Tz juzi tu walikua kwenye FIESTA na wamezunguka nchi nzima ngombe wewe.. Kenya music is Trash, I can't waste my time listening to Kenya's Music, Diamond amekuja huko pia kusajili Wanamziki watakao Ingia kwenye label yake and boosting up your shityy music
Anawaste time.....yake
 
Back
Top Bottom