Junior Clinton Mr.
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 1,078
- 1,425

















Tunatafuna Pesa za Kenya then we RUN
Namwona dada Mwasiti kwenye mkokotenilicha ya kwamba majobless ya kikenya yanambeza kwa kuzungumza broken english, mainstream tv zao zinajisikia fahari kupanga kufanya nae interview. viva tanzania.![]()
![]()
![]()
View attachment 715669
naona umemis ile kitu nilikufanyia "huko nyuma" . karibu sana binti.A duffer old chap doing his damnedest to show what he has in his head.

Hahaha.....wasaniii we2 hawanashughuli na nyie..... Na bytha......in Kenya we love clubmusic . Sio kama zenu yah mapenzi ya kijingaYou're out of your mindKenya ndio mnawaita wasanii wetu huko ili mtengeneze Pesa, no body gives a shit about Kenya, Msanii kama Diamond Vanessa Ali Kiba na wengine wengi wamekua International Artists without even geting intouch with Kenya, Walipojulikana ndio mkaanza kuwaita ili waje mtengeneze Pesa, Msanii Wa Tanzania soko lake kubwa anawaza Nigeria, na Western countries.. Ndio maana hutakuta Msanii Wa Kenya ameshirikishwa kwenye nyimbo ya Msanii Wa Tz its only 1%..
Unaitajataja Nigeria na wamujui diamond...Msanii Wa Tz akashoot video Kenyaaa??? Pwahahaha.. Tunawabeba sana, East Africa is well know because of Tanzania, Starting from our lovely language Swahili, Kilimanjaro and many others.. Diamond anakuja Kenya kama anavyoenda Marekani, Uingereza na kwingineko Duniani.. Hii Album itazinduliwa Duniani Kote.. You've contributed nothing to our music, Only Nigeria Did..
Industry yah Kenya iko chonjo...ni nyie kuna ubeaYani masikini nguvu zake mwenyewe pia wanataka kusema wamechangia hawa jamaa ni wapuuzi yani wameachiwa laana mbaya sana😀😀😀😀😀😀😀
Uyu jamaa.ni kipiii. mchanga una nnissue yangu hapa sio wakenya wanaonekana kwa picha bali ni udongo wa kenya.
hivi hapa ni mazingira ya chuo au machinjio ya wanyama(butchery ground)?.
udongo ni mwekundu sana hauna tofauti na mifereji ya damu![]()
View attachment 714866
Pwahaha, Marekani inamjua Diamond sembuse NigeriaUnaitajataja Nigeria na wamujui diamond...

kila siku tunabeba Tuzo hapo kwao Nigeria..Anawaste time.....yakeHuna akili wewe Diamond alianza kujulikana Internationally na Wimbo wake Remix aliomshirikisha Davido- my number one hana nyimbo inayoitwa wingolo, na kuhusu Vanessa mdee alisomea Catholic university of east Africa na ni kawaida kwa universities maana hata viongozi wakubwa Wa Africa wamesomea UDSM Tanzania, Huyo Alikiba kushinda huko sio kesi maana Prezzo, Huddah na wengine kibao wamenunua na nyumba kabisa Tz na weekend zote wapo huku.. Wasanii wote hao Alikiba Diamond na wengine wote wanafanya shoo nyingi tu Tz juzi tu walikua kwenye FIESTA na wamezunguka nchi nzima ngombe wewe.. Kenya music is Trash, I can't waste my time listening to Kenya's Music, Diamond amekuja huko pia kusajili Wanamziki watakao Ingia kwenye label yake and boosting up your shityy music
Sasa bro unapotulilia tunashinwa namna ya kukusaidia.Industry yah Kenya iko chonjo...ni nyie kuna ubea
Lake Nairobi
CBD ipo kwenye swampaccording to the history, nairobi was owned by masai and the whole area of nairobi CBD was covered by swamps(mabwawa).mother nature hataki ujinga, anataka eneo lake.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 715870View attachment 715872View attachment 715873View attachment 715874View attachment 715875View attachment 715876View attachment 715877View attachment 715878View attachment 715880View attachment 715881
