Huna akili wewe Diamond alianza kujulikana Internationally na Wimbo wake Remix aliomshirikisha Davido- my number one hana nyimbo inayoitwa wingolo, na kuhusu Vanessa mdee alisomea Catholic university of east Africa na ni kawaida kwa universities maana hata viongozi wakubwa Wa Africa wamesomea UDSM Tanzania, Huyo Alikiba kushinda huko sio kesi maana Prezzo, Huddah na wengine kibao wamenunua na nyumba kabisa Tz na weekend zote wapo huku.. Wasanii wote hao Alikiba Diamond na wengine wote wanafanya shoo nyingi tu Tz juzi tu walikua kwenye FIESTA na wamezunguka nchi nzima ngombe wewe.. Kenya music is Trash, I can't waste my time listening to Kenya's Music, Diamond amekuja huko pia kusajili Wanamziki watakao Ingia kwenye label yake and boosting up your shityy music