Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Juja hehehe kuna nyumba za tofali za kuchoma na nyumba za matope hehehe kudondoka kwa magorofa nairobi ni kitu cha kawaida sana
😀😀😀😀😀
Nyinyi mtadondokewa na nini wakati jiji nzima ni changaduo?
 
kigamboni dar
525863


Nyumba mbilj
 
Acha kujichanganya, suala la ectricity ni lengine na barabara ni lengine, chagua wewe unazungumzia lipi, kuhusu paved nimekupa data za Kenya kwa kukuwekea link ya gazeti lenu.
Kwa barabara tanzania mna 1500km while electricity mna 1350 MW so kwa zote nyie labda mzungumze na kina Burundi vile mtakavyo jiboresha...Kenya sio ligi ya LDC.
 
Kwa barabara tanzania mna 1500km while electricity mna 1350 MW so kwa zote nyie labda mzungumze na kina Burundi vile mtakavyo jiboresha...Kenya sio ligi ya LDC.
hehehe asante kwa matumaini japo najua roho inakukereketa vilivo😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom