Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa buda mbona unazungumzia issue mbili tofaut apa, article yako japo ndefu lakin inazungumzia kuhusu matajiri kuwekeza kwenye nyumba Kenya ,ofcz kama sera zenu nzuri za ardhi lazima wavutike...I wanted you to show me how worth Kenyan real estate is...so That I can bring Dar tupate chemistry....
 
Then why does it bother your that we don't speak good English??? WIVU TUU.. Pili pili usioila....
if speaking english is something of a big deal, you wouldn't be engaging in sexual act with animals

IMG_20180313_163521.jpg
 
Hatu hawapendi Nairobi hii Africa nzima ni Tanzanians.....even though ni omba omba huku Nairobi.wanaitukana mtandaoni ila hawakosi kuja huku......hehehe.
 
Sasa buda mbona unazungumzia issue mbili tofaut apa, article yako japo ndefu lakin inazungumzia kuhusu matajiri kuwekeza kwenye nyumba Kenya ,ofcz kama sera zenu nzuri za ardhi lazima wavutike...I wanted you to show me how worth Kenyan real estate is...so That I can bring Dar tupate chemistry....
You must be bettsr than this by now.. So ile evidence moja ndio tutatumia hadi 2030??
 
Hatu hawapendi Nairobi hii Africa nzima ni Tanzanians.....even though ni omba omba huku Nairobi.wanaitukana mtandaoni ila hawakosi kuja huku......hehehe.
Hehehe wakenya wenzenu hawaipendi kenya imagine😀😀😀😀😀
 
sasa mnanunua kwa msaada ndugu yani ukisikia nchi inapewa msaada sio kwamba bure kabisa
Afadhali ni discuss na mtoto wa darasa la kwanza.. so tukiwauzia Blu Band,Jik, Omo... Na nyinyi mtu uzie Maharage na mahidi, yetu nikuuza na yenyu ni msaada???

Ujingatuu
 
Hatu hawapendi Nairobi hii Africa nzima ni Tanzanians.....even though ni omba omba huku Nairobi.wanaitukana mtandaoni ila hawakosi kuja huku......hehehe.
Huku ni ulaya yao, kwani umesahau baba yao nyerere alivosema? Mtanzania akija kenya anarudi nyumbani kuambia kila mtu
 
Afadhali ni discuss na mtoto wa darasa la kwanza.. so tukiwauzia Blu Band,Jik, Omo... Na nyinyi mtu uzie Maharage na mahidi, yetu nikuuza na yenyu ni msaada???

Ujingatuu
sasa ukidiscuss na darasa la kwanza utamsaidia au atakusaidia au unajifunza kufundisha
 
Back
Top Bottom