Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huku ni ulaya yao, kwani umesahau baba yao nyerere alivosema? Mtanzania akija kenya anarudi nyumbani kuambia kila mtu
Sasa mbona ninyi ndiyo mumejazana na mnakimbilia kuja Bongo, Magufuli akiwafukuza mnasema Kenyans are targeted, mumeruhusu watu kuja kuishi bila kupata working permit, sisi tumekataa, ninyi ni Mexico, huku ni USA.
 
ujaelewa kuku ndio maana unaambiwa kila mtanzania anamiliki ardhi ndio hivyo
Danganya mwingine. Hakuna mtanzania anayemiliki ardhi tanzania nzima. Kinachofanyika ni kwamba mnakodisha ardhi kutoka kwa serikali ambayo ndo inamiliki ardhi zote Tanzania. Ukikodisha kitu utasemaje unaimiliki?
 
Haha Hamna mtu anachukia nbo, hatutak ujinga ujinga wakudanganya watu nbo ni kitu cha maana kuzidi Dar ,wkat Dar imesimama na ukucha na tunazidi kukaza zaidi
mnazidi kukaza zaidi ila hamjafikia Nairobi
 
But you die of hunger, the economy is collapsing, no jobs, no enough tap water, highest crime. How does this help you as citizens?
can you prove these claims by bringing sourcea of information of where you got them?
 
respek!
trend10-5.jpg
Hapa nawasapoti. Wapigeni tu hao hakuna namna
 
Danganya mwingine. Hakuna mtanzania anayemiliki ardhi tanzania nzima. Kinachofanyika ni kwamba mnakodisha ardhi kutoka kwa serikali ambayo ndo inamiliki ardhi zote Tanzania. Ukikodisha kitu utasemaje unaimiliki?
Huna unalojua nenda katafune miraa,
 
Danganya mwingine. Hakuna mtanzania anayemiliki ardhi tanzania nzima. Kinachofanyika ni kwamba mnakodisha ardhi kutoka kwa serikali ambayo ndo inamiliki ardhi zote Tanzania. Ukikodisha kitu utasemaje unaimiliki?
labda ujui maana ya kukodi na kumiliki
 
Back
Top Bottom