evart
JF-Expert Member
- Sep 4, 2016
- 2,838
- 2,774
Anaokota mapicha ya kiambu anasema dardar hakuna udongo mwekundu go east or west hahahahah😀😀😀😀😀😀
tafuta sehemu ulipoitoa😛😛😛😛😛
Chizi kweli !
Anaokota mapicha ya kiambu anasema dardar hakuna udongo mwekundu go east or west hahahahah😀😀😀😀😀😀
tafuta sehemu ulipoitoa😛😛😛😛😛
Si unit of poverty!abishe mtu niletee ushahidi😀😀😀😀😀
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Umeuatumewaongezea ferry mpya mv kazi jumla ziko tatu ili wasiteseke
![]()
alafu pia tukawajengea the modern and longest cable stayed in east and central africa
kigamboni bridge
![]()
unataka nikuletee naomba ujibu plz😀😀😀Wewe unapoleta picha za slums na kuziita kibera huwa unatoa ushahidi gani?
hahahha 😀😀😀😀😀duh basi LA timu kama hiyo ndio ilo kwel!?wakati stand utd timu changa ila ina basi Mercedes benzi jipya kabisa.ngoja niitafute picha yake niitupie umu tuwacheke vizuri
Yap! It's called capitalism.you pay to use a road???
Omba msamaha huyu MTU anaheshima Kubwa sana hapa Tz na Africa nzima, Hayo maneno uliyoongea yanaonyesha Akili yako ni ndogo sanaaa.naona maumivu ya wakanda inawauma watu....nilidhani ni mwenzenu ndiye alikuwa akisema sijui Nyerere ni Black panther😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀yaani huyu mshamba unaweza mfananisha na Black panther, the super hero?😀😀😀😀😀jamaa analainisha ndevu kana kwamba ni hitler😀😀😀kamshamba kamekonda kanafananishwa na super hero..huyu pengine mfananishe na spiderman😀😀😀
![]()
Uchumi wakupika kwenye makaratasi unazani utaficha madudu yao,thubutu.Ni sawa nakua kipofu kisha unavaa miwani ili watu wakuone mzima tele wakati hali ni ile ile upofu aujifichi.hahaaa.. mm najiuliza huo uchumi wao mkubwa mbona hau reflect kwenye sector nyingine, Wanamuziki wao hawana vipato, timu za hoe hae, ajila tabu!!
List ya timu zenye world class buses hapa tz.
1)Simba
2)Yanga
3)Azam
4)Mbeya city
5)Stand united
6)Singida united
7)Mbao Fc
8)KMC
Wenye ma-bus ya kawaida kama la Gor mahia.
1)Coastal union
2)Maji maji
3)Alliance fc
4)JKT Tanzania
Nisiwachoshe wajameni maana list ni ndefu sana hapa. Kma mnabisha go google
Hii inabidi atumiwe arsenal wenger kuonyeshwa upumbavu wa wakenya
Sisi tunafanya michezo kuleta pesa sio ushindi just like Arsenalmnasherehekea mabasi ilhali hamna team yoyote bora,
football yenyewe mko ranked position 146(FIFA)
RUGBY ZEEERO
NETBALL ZEERO
VOLLEYBALL ZEERO
ATHLETICS ZEEEEEEERO.
So ni nini mnajua kufanya sana, UMBEA ama?
That's epitome of jealousy. You just wish it was in Dar es salaam. Coca cola is just a tip of an iceberg. Bado kuna zingine kama IBM, Google, UNEP, UN Office in Africa, UN-Habitat, IMF, World Bank, Microsoft, BBC, CGTN...the list is endless. All these companies and UN bodies have their global, continental or regional headquarters in Nairobi. And yes, they employ thousands of Kenyans. Alafu Pepsi ndio pombe gani? Number mtazidi kuisoma!Swali hizo headquarters zimetengeza ajira na income kiasi gani?? Pia tambua TZ sisi hatu tumii sana coca but pepsi. Nando anauza sana Dar
Hi photo shop simchezoA sneak preview into the future...Upper Hill will be a sight to behold once Montave and Pinnacle are built. How I wish Avic was in the same location!View attachment 705638
ume change motion as usual😀😀😀mnasherehekea mabasi ilhali hamna team yoyote bora,
football yenyewe mko ranked position 146(FIFA)
RUGBY ZEEERO
NETBALL ZEERO
VOLLEYBALL ZEERO
ATHLETICS ZEEEEEEERO.
So ni nini mnajua kufanya sana, UMBEA ama?
with two big renders😀😀😀😀😀A sneak preview into the future...Upper Hill will be a sight to behold once Montave and Pinnacle are built. How I wish Avic was in the same location!View attachment 705638
good zimesaidia nn kenya?? ikiwa bado muna njaa, corruption, tribalism, poor slums, unemployment rate high in africa😀😀😀 au ziwepo tu bila maanaThat's epitome of jealousy. You just wish it was in Dar es salaam. Coca cola is just a tip of an iceberg. Bado kuna zingine kama IBM, Google, UNEP, UN Office in Africa, UN-Habitat, IMF, World Bank, Microsoft, BBC, CGTN...the list is endless. All these companies and UN bodies have their global, continental or regional headquarters in Nairobi. And yes, they employ thousands of Kenyans. Alafu Pepsi ndio pombe gani? Number mtazidi kuisoma!
hahaha huna ushahidi ku hapo ni wapi safari hii mumekamatika😀😀😀😀😀😀