Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Singida is beautiful than Nairobi I swear you will agree with me after watching this
 
wp_ss_20180304_0001 (2).png
Nairobi hiyooooo
 
Tumia akili wewe acha kutafuna mirungi utaendelea kuwa masikini, kama wametumwa na Magufuli kwanini serikali iwakamate?, mbona waliompiga risasi Lissu hawajakamatwa?, mbona waliomuua Jacob Juma, Msando, Makaburi, Abood Rogo, na wale wakenya 60 wakati wa uchaguzi hawajakamatwa?

Sent from my MediaPad T1 8.0 using JamiiForums mobile app


Maskini ni mamako
 
Buruburu na imara daima I wish uziweke hapa...Masaki yenyewe ni mji sio mtaa kama mnavyofikiri ninyi...kule Masaki pekee ni mji
hao hawaijui dar ndio maana unaona anaingea pumba tu😀😀😀😀😀
 
Acha uongo wewe, Marekani haijawahi hata siku moja kununua chakula toka China, Marekani wana ndiyo nchi yenye akiba cha chakula kingi kuliko nchi yoyote ile duniani, lete ushahidi kwamba China ilishawahi kuiuzia Marekani chakula.

Huwezi kuwa nchi iliyoendelea kama huna uhakika wa chakula, hicho ndicho kigezo cha kwanza duniani cha maendeleo. Tatizo la Kenya ni kwamba hamna uwezo wa kuzalisha chakula cha kujitosheleza, na hamna pesa za kununua chakula cha kutosha, mnabaki kusaidiwa chakula, hii ni aibu, na ni nchi chache sana duniani ambazo haziko katika vita, zinazopewa food donation.
Uhuru trolled for receiving 'food rations' from UAE - Nairobi News


That shows how an educated you are,I can not waste my time arguing with a duffer drama queen who has nothing to offer but cheap publicity and seeking men .
 
Btw Iyo nyumba itafanya skyline yenu ionekane as if mna nyumba moja...nyingine zitamezwa vibaya...tutaiita nai one tower

Note;Sisi watz bado hatuna uhakika if pinaccle is real project Au ndio Yule tembo mweupe mkubwa ...jipeni shughuli
 
Back
Top Bottom