Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

WATU 10 WASHIKILIWA NA JESHI POLISI MKOANI MOROGORO KWA MAUAJI YA DIWANI WA CHADEMA. - KIJUKUU CHA BIBI K | Habari na Matukio
Acha kupiga kelele, waliohusika na hayo mauaji wote wamekamatwa na wamesema ni mauaji ya kulipiza kisasi kutokana na migogoro ya shamba. Vipi waliowaua Jacob Juma nanChris Msando, wamepatikana?, na polisi waliowaua watu 60 katika kipindi cha uchaguzi, kuna hata mmoja aliyehojiwa?, usilinganishe Kenya na Tanzania katika hilo, ni sawa na mbingu na ardhi.



Ulitaka waseme ni magufuli aliwatuma? reason beyond your nose.
 
leta hata ya masaki na oysterbay niletee ya buruburu ama imara daima.......Dar na tarmac is like water and paraffin

True Dar na infrastructure hazipelekani... Check LDC infrastructure index... Wanacheza na DRC na Somalia
Screen-shot-2018-01-19-at-12.39.03-AM.png
 
We are LDC and yet we are feeding your ugly malnutritional protruded bellies,
What is the meaning of your Middle income , wtf.


China feeds US,does it mean that China is richer than US? You don't feed us for free my dear,we buy with our money which helps to build roads in your country,,,,, were it not for Kenya to buy maize from Tanzania I don't where you duffer could be,,,,,
 
unajua mala ya mwisho imepata muwekezaji wa madini ilikuwa kipindi cha Raisi Mkapa 2000-2005, Kikwete yeye ni Gesi, Magufuli viwanda
One day the trueth will hit you and you will be very ashamed of your ignorance.

Kenya ilivyo sahii itawachukua zaidi ya 20years kuifikia interms of Education, infrastructure, Retail... mna kazi yakufanya..

But endelea na domo ndio mnaweza...
 
China feeds US,does it mean that China is richer than US? You don't feed us for free my dear,we buy with our money which helps to build roads in your country,,,,, were it not for Kenya to buy maize from Tanzania I don't where you duffer could be,,,,,
In general we sell more items to you guys more than we buy from you... LDC hadi kwa ubongo
 
Tunajenga zote kwa pamoja kwasababu pesa za kwetu na sio za mkopo,

Pesa za loan ndio hua zinamaaharti hawakupi pesa ya phase 2 wakat phase1 hujajenga lakin tanzania inatumia internal source 3.16b usd ndio maana unaona tunajenga kwa pamoja zote 722km

Hope umeelewa
Then why do you call it phase 1 and 2. Why misuse the word "phase"
Phase is supposed to mean a particular order or sequence, i.e to get to phase 2 you should go through phase 1.
Why not find something like Tanzania Railway Project. Mnaua English kisha mnazika, hamma huruma.
In Kenya you saw kenya standard gauge phase 1 which is msa to nairobi, na ilimalizwa kwanza kabla ya kuanza the 2nd phase to naivasha.
You guys are confusing us.
 
Because Kenya uses consecutive model of construction, you think that is the only option available, we are using different model of doing that, all phases will be built concurrently not consecutively like the way you do.
Here it's purely grammar gone wrong.
Phase 1 is like saying step 1.now can you solve a math problem by computing the second step alongside the first step?
Grammar people. Dang!
 
One day the trueth will hit you and you will be very ashamed of your ignorance.

Kenya ilivyo sahii itawachukua zaidi ya 20years kuifikia interms of Education, infrastructure, Retail... mna kazi yakufanya..

But endelea na domo ndio mnaweza...
ituchukue muna nn cha ajabu ???😀😀😀

kipi mulichonacho hahahahha
 
Then why do you call it phase 1 and 2. Why misuse the word "phase"
Phase is supposed to mean a particular order or sequence, i.e to get to phase 2 you should go through phase 1.
Why not find something like Tanzania Railway Project. Mnaua English kisha mnazika, hamma huruma.
In Kenya you saw kenya standard gauge phase 1 which is msa to nairobi, na ilimalizwa kwanza kabla ya kuanza the 2nd phase to naivasha.
You guys are confusing us.
tunaita phase kwasababu zimeanza muda tofaut heheh ila wakenya munaupuuzi sana 😀😀😀😀😀
 
True Dar na infrastructure hazipelekani... Check LDC infrastructure index... Wanacheza na DRC na SomaliaView attachment 704486
wewe kuna kitu hujakielewa tanzania area is twice of kenya so unategemea index zitakua ranked sawa??

obvious kenya itaonekana kwasababu nchi yenu ndogo na haina mwendo mrefu kama tanzania... tumia akili ya kuzaliwa tu wala haitaji hasira wala nguvu😀😀

hzo ranks ni kutokana na infastructure kufikia maeneo mengi ya nchi
 
Back
Top Bottom