Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

heheh phase 2 imepamba moto kutoka moro to dodoma jumla 422 km😀😀😀😀 without loan 3.16b usd for two phases jumla 722km

 
alaf collo na mwaswast hawana hata kiwanja na ajira😀😀😀😀😀😀
A5B8F24C-0C2C-4EB0-927F-122194BD3531.jpeg
 
kama kawaida yenu kwa jinsi wakenya mnavyopenda kitonga.....

jobless nakuona upo uhuru park ukiwa umeivizia free Wi-fi
Chokora, ungekuwa na akili timamu ungeona saa. uhuru park saa saba ya asubuhi? I use wifi at the comfort of my bed buddy
 
Mnaweza kuwa na headquarters za hao investors lakini uwekezaji wao wapesa hapo Kenya ukawa mdogo. Hapo inakuwa imewasaidia nini?. Investment inabidi itengeneze ajira na ku raise income. Tanzania ndo inaongoza East Africa kwa FDI hadi sasa. We raise both employment and income. Sio kupata headquarters tu bila kuwa na impact kubwa kwenye jamiiView attachment 704150 View attachment 704151 View attachment 704152


Kenya wanafurahia headquarters wakati haziwasaidii kitu chochote mfano kama kwenye ajira BBC haiwezi kutoa ajira zaidi ya 20, Google wanapenda ku automate kazi zao hata YouTube haina customer care kwahivyo ajira hamna.
 
Back
Top Bottom