Amejichimbia kwa keja yake uko Dandora, akirudi nishtueswali zuri sana..... umemkamata,,,,

Apartments ziko kila mahali pia DarLeo umejitahidi na kuleta apartment! Kongole, ila najua iko pale karibu na beach. Nairobi apartments kama hizo ziko kila mahali. Hiyo ni moja ya tofauti zilizopo kati ya Dar na Nairobi
Ukikosa pakutokea unatafuta slope sio...C.kulia. zinatia aibu
Huenda wewe sio resident wa Dar so nakuomba uingie Google earth uone vile jiji lenu limejaa nyumba za mabati kila mahali. Google earth doesn't lie my friend.
kuna ile ya kenya..... ya airport vipi unaionajd ile apartment...Msasani apartments
![]()

ndiyo..... nipo uku masai mara...... dar sipajui...... naijua rombo tu...Huenda wewe sio resident wa Dar so nakuomba uingie Google earth uone vile jiji lenu limejaa nyumba za mabati kila mahali. Google earth doesn't lie my friend.
achana naye huyo jamaa anaupungufu kichwani mwake.... anaongeaga vitu ambavyo hata havijui...Hahahahahahahaha, kumbuka real estate ya Dar value yake $12B wakati Nairobi nib$9B, hiyo pesa yote inaenda wapi kama nyumba ni duni kama Nairobi?. Dar hoyeeeee
ona mshamba wa kuwika floor count lolNipo ni 9flr
Dwaf buildings
Hizi majengo zinaenda kwa mwendo wa kasi sana! it's almost reaching 20 floors na ujenzi ulianza majuzi tu...Sijui wabongo watakimbilia wapi hizi majengo sita zikikamilika tukingoja Pinnacle na Montave.nairobi global trade center...176m, 141m..hehe how tall is PSPF, TPR?
![]()
![]()
![]()
Pinako na montave mtangoja sana...Hizi majengo zinaenda kwa mwendo wa kasi sana! it's almost reaching 20 floors na ujenzi ulianza majuzi tu...Sijui wabongo watakimbilia wapi hizi majengo sita zikikamilika tukingoja Pinnacle na Montave.
wapi pinnacle na montave???😀😀😀😀Hizi majengo zinaenda kwa mwendo wa kasi sana! it's almost reaching 20 floors na ujenzi ulianza majuzi tu...Sijui wabongo watakimbilia wapi hizi majengo sita zikikamilika tukingoja Pinnacle na Montave.
Did you say YAWEZA fika?Avic will be the tallest building in east Africa upon its completion awaiting pinnacle. Alafu Morocco is such a dwarf building kulinganisha na Avic. Hiyo Morocco imefika hata 20 floorsPinako na montave mtangoja sana...
morroco square mbona kuna nyumba nne na mall kubwa tu ata june haifiki zinazinduliwa...MNF, PPF, MZIZIMA TOWERS zote mwaka huu zote ni zaidi ya 140M. ...MZIZIMA yaweza fika 170M na PPF zaidi ya 160M
unajua maana ya filter? Kwa hizo picha nilizoleta filter zikowapi? Alafu zile dream houses zenu na kadoda mbona siku hizi hamzileti? Au bado mko kwenye donto? (remember they are dream houses)
Yeah morroco square kuna 22,20flr zile za kawaida ndio 17,13flr ...Pia wana Mall 20ksqm underground parking yakutosha gari 2k ...Did you say YAWEZA fika?Avic will be the tallest building in east Africa upon its completion awaiting pinnacle. Alafu Morocco is such a dwarf building kulinganisha na Avic. Hiyo Morocco imefika hata 20 floors