Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😀😀😀😀😀😀😀😀
1.JPG
after South Africa and France.....
 
Hili gazeti linakaa la watu wa ocha(village). Ata font zimebeat

hehe those newspapers are so lame. huwezi kuamini ni national newspaper. first page ni kama zinafanywa editing na high school dropouts 😀 kubeat nayo! Ati Gaidi: Mtoto auwawa mkuranga, alafu wanaweka picha ya gaidi na photoshop ya pistol hapo kando hehe. Marehemu nao wanachorewa mpaka arrow ya kuonyesha ni wapi wanazikwa. Ni kama cartoon
 
hehe those newspapers are so lame. huwezi kuamini ni national newspaper. first page ni kama zinafanywa editing na high school dropouts 😀 kubeat nayo! Ati Gaidi: Mtoto auwawa mkuranga, alafu wanaweka picha ya gaidi na photoshop ya pistol hapo kando hehe. Marehemu nao wanachorewa mpaka arrow ya kuonyesha ni wapi wanazikwa. Ni kama cartoon
Ungejua hayo ni magazeti yanayosomwa zaidi uswahilini usingepanic kuhusu ubora
 
Polisi Kenya wamempiga risasi kichwani kiongozi wa wanafunzi wa Meru university, hii ni kawaida sana kwa Kenya, hutosikia ikitajwa popote pale, ingekuwa Tanzania, hata BBC ingeripoti. Maisha ya wakenya hayana thamani kabisa
 
Any nairobian with the ongoing event at KICC....? I have been sent to Thika I can't see myself making it on time
 
dah mbali na estate nyie ni hamna kitu kama estate zenyewe ni mbaya hazivutii je hizo nyumba za mmoja mmoja hapo chini niajee mbona ni vibanda vituko
vibanda ni Dar. ingia Google earth uone vile vibanda vimetapakaa kila mahali
 
Back
Top Bottom