Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wanafanya.....nn cbd na sufuria na samaki meaning. Wana cbd apartment 11 concrete storey...karibu Every tenant with one room sharing toilet.
Tulia ww uelimishwe....

Hiyo barabara ni Kivukoni front...
Inaanzia bandarini kwenye hizo giants ( PSPF, MNF na TPA ) hadi ferry....

Hapo unapopaona ni fews metres to the largest fish market in East and Central Africa... that's MAGOGONI FERRY

Those mama's you see on the pic are coming from the fish market and goes to their usual homes...

Sasa nitakushangaa unaposhangaa Samaki kubebwa kwenye ndoo... kwasababu hao ni wafanyabiashara wadogo kwhy no way out to carry them on bucket...

Halafu eneo hilo hakuna apartment hata moja....
 
Lake Tanganyika Tanzania
images
ujue tz kuna sehemu ambazo zipo kwakufikirika hata mwanzowa dunia zilikuwepo na bado zipo...


tanzania ni nchi barikiwa na yawezekanani nchi ambayo hata kwenye maandiko ama vitabu takatifu inachukuanafasi kubwa
 
ujue tz kuna sehemu ambazo zipo kwakufikirika hata mwanzowa dunia zilikuwepo na bado zipo...


tanzania ni nchi barikiwa na yawezekanani nchi ambayo hata kwenye maandiko ama vitabu takatifu inachukuanafasi kubwa
ila bado LDC...top 20 poorest countries in the world😀😀😀😀😀baraka hamjui kutumia au?😀😀😀
 
Back
Top Bottom